Serikali kupitia wizara husika tunaomba mtoe tamko juu ya kuchelewa kwa ajira hizi kama mlivyofanya hivyo kwa mwaka jana, kwa sababu kosa limejirudia tena. karibuni wahusika wa jambo hili.
Mi nachojua mwaka huu hakuna ajira za ualimu
Tumewachokaaa bhanaa aghh!!!Tunasubir tamko rasmi kila mtu anakuaa msemaji wa Tamisemi huyu ivi huyu vilee...
tatizo lako unataka kulazimisha kukariri ujinga. Inamaana hujui kuwa mwaka jana walitoa tamko la juu ya kuchelewa?Nani kakwambia zimechelewa??mwaka jana Ajira zimetoka March katikat ,watu wakaripot april 1
Ww ndo unataka kuziwaisha zenyewe hazijachelewa!!
tatizo lako unataka kulazimisha kukariri ujinga. Inamaana hujui kuwa mwaka jana walitoa tamko la juu ya kuchelewa?
aaaa walimu mnataka kutwangana wenyewe kwa wenyewe kisa ajira kuchelewa....acheni hizo vumilieni tu
zungumza fact rudi kwenye key. Au ww sio msomiHaya mkuu wa Tamisemi kazilete basi maana naona nimegusa penywe umeaamka ka nn ...hahahaha.....tatizo njaa znakusumbua unataka kuwaisha mambo wakati uwezo huo huna....wafate wambie watoe tamko....
zungumza fact rudi kwenye key. Au ww sio msomi
Kwaiyo wewe ndo msomi.?