naitaji ushauri.nafundisha shule moja maarufu sana hapa nchini salary yao ni mia 7 take hme with full meals no accomodation ipo tegeta dar.ni ya turuki niko kama mwalimu wa biology and practical.je ajira zkitoka nifanyeje?contract wananiletea march
Mimi nishaanza kufungasha nguo zangu kwenye mabegi tayari kwa kuripoti ktk halimashauri ya HAI mkoani kilimanjaro
Jamani nisaidieni walimu wenzangu. Mimi naitwa Beatrice Mollel, nilishawahi kufundisha ktk wilaya ya Kwimba. Kutokana na sababu zilizokuwa juu ya uwezo wangu nilisimama kazi kwa muda. Mwaka jana nikaomba ajira upya na kupangiwa wilaya ya Hai, nikafanya kazi kwa muda wa miezi 6 bila mshahara, nilipofatilia nikaambiwa siyambuliki kama mwalimu ktk wilaya yao. Sasa nipo nyumbani. Naombeni msaada wenu. Nini nifanye ili niweze rudi kazini.
wadau ajira zinatoka kesho jumatatu ya tarehe 02/03 na itakuwa ni saa 4 asubuhi mambo yatakuwa hadharani.
source tamisem) hajapenda kutajwa jna.
Pree release??????