nzii kufia kwenye kidonda sio hasara .kanumba amefia kidondani na yy kwa nn asifanye akafia huko?
mm nahs hizi ni juhud zake ili asije kufa nje ya kidonda.
Kenya hata waiteke somali nzima kimabavu bado hawatawaweza magaid hasa maana lazma tujifunze kwa nchi kubwa kama marekani kupigana na al qaeda watu wachache hadi leo hakuna walichofanya na kundi bado linanguvu na matawi ya ziada.
Iweje kenya kibaraka Wamarekani?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.