Mkuu Wise Boy, ni kweli, nakuomba msamaha!, ni kweli nimekurupuka kukushambulia, bure, I'm very sorry for this ila ila pia
ilipaswa kuwa hivi..
Hapa sasa ulipaswa kusema nanukuu, na kuweka fungua semi na kumalizia na funga semi!.
Na baada ya kumaliza ulipaswa kuweka funga semi na kusema mwisho wa kunukuu!.
Nakiri ni kweli nimekunukuu vibaya, haswa baada ya kukukuta uzi huu,
alafu mtu huyu huyo kuja na uzi huu wa leo
Kaa huyu jamaa ni yule wa ajali, wa kujenga makanisa, wa pm nyingi, wa kampuni ya dhahabu n.k..
Ukiacha watu kufikiria unachizika.. mi nadhani uongo mwingi
Kaa huyu jamaa ni yule wa ajali, wa kujenga makanisa, wa pm nyingi, wa kampuni ya dhahabu n.k..
Ukiacha watu kufikiria unachizika.. mi nadhani uongo mwingi
Wakuu Habari Hii Ni Kweli Kabisa Nami Nimeamua Kuileta Kwenu Kama Nilivyoambiwa Na Rafiki Yangu Ambaye Kila Siku Analia Na Amekata Tamaa Kabisa.Mara Ya Kwanza Nilipoambiwa Kuwa Mke Wangu Ni Mchawi Sikuamini Hata Kidogo Ila Kila Sehemu Habari Zilitapakaa Kuwa Ninaishi Na Mchawi,niliamua Kwenda Congo Sehemu Inaitwa Kalemii Ambako Ili Kupata Dawa Kwa Mganga Wa Jadi Huko Nilichanjwa Mwili Mzima Na Kupewa Dawa Ya Kupaka Machoni Inayoona Wachawi,niliporudi Nyumbani Niliiweka Machoni Hiyo Dawa Usiku Wa Manane Na Ndipo Niliposhuhudia Kwa Mara Ya Kwanza Jambo Ambalo Sitalisahau Maisha Mwangu,pale Kitandani Nikidhani Usiku Wote Ule Nilikuwa Namkumbatia Mke Wangu Kumbe Haikuwa Hivyo,fisi Mkubwa Ajabu Alikuwa Pale Kalala Nilipiga Kelele Kwa Hofu Wanangu Wakaamka Wote Sekunde Ile Ile Fisi Yule Akatoweka Na Mke Wangu Sikumuona Hadi Saa Kumi Alfajiri Nilipomuona Akirudi Akiwa Uchi Mwilini Kajipaka Dawa Nyeusi Alipogundua Nimembaini Akasema Lazima Nife,ndugu Zangu Nifanyeje? Dawa Niliyochanjwa Congo Ndo Inanilinda Sasa.
Kaa huyu jamaa ni yule wa ajali, wa kujenga makanisa, wa pm nyingi, wa kampuni ya dhahabu n.k..
Ukiacha watu kufikiria unachizika.. mi nadhani uongo mwingi
Kaa huyu jamaa ni yule wa ajali, wa kujenga makanisa, wa pm nyingi, wa kampuni ya dhahabu n.k..
Ukiacha watu kufikiria unachizika.. mi nadhani uongo mwingi
moto wa mchawi na mshirikina ni moto mdogo tu . huu huzimika kwa maji
Sio kumwambia Yesu tu mambo kama haya yanatakiwa uwe na imani thabiti usiwe moto wala baridi na imani yako isiwe haba zaidi ya hapo shetani atammeza huyu jamaa manake hapo alipo ana mavifungo ya ibilisi kwanza neno, kusema amechanjwa hilo ni chukizo mbele za Mungu na kama ni mkristo kasome Biblia itakuweka huru kuhusu Mungu huyu muumba wa mbingu na nchi tunaemwamini ,
Anasema mimi ni Mungu mwenye wivu na huwapatiliza wana maovu ya baba zao,
Yakupasa ndugu utubu uvunje laana zote na mavifungo yote uliyojifunga wewe pamoja na kizazi chako, umrudie Muumba akupe rehema usali sala ya toba,
Ukitoka hapo funga na kusali huku ukiifunika familia yako kwa damu Ya Yesu Kristo wa Nazareti aliye hai hakika kama mkeo ni mchawi na kukaidi kutubu na kumrudia Mungu atakufa amini hivyo natafuta maandiko ndani ya Biblia yanayohusu maombi dhidi ya mchawi nikuwekee hapa usome uone nguvu Ya Mungu ilivyo Kuu.[/Qdu
duu huyu mungu wala hayuko fear sasa maovu ya baba apatizwe mtoto. mmmmm kosa la mwengine azabu mwengine
hii ni sawa na kumwambia mtu akubebee maumivu yako au mtu kuwa na njaa akamwambia mwenziwe amlilie
Ya baraka?
Mkuu unatunga sana story halafu za kitoto na za bongo movie
Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums