Recent content by Said S Yande

  1. Said S Yande

    Kikatiba Muda wa Rais unaisha Bunge linapovunjwa. Inakuwaje Uteuzi na Utenguzi unafanyika kipindi hiki?

    Tatizo lako unafananisha Tanzania na nchi nyingine,sisi ni Tanzania sio nchi nyingine:p
  2. Said S Yande

    Nimelidondosha Bumunda jingine leo. Sitaki ujinga

    Jitahidi uwe unahudhuria kikao unamtumiaje Malaya 300k,shukuru huyo jamaa ako anayehudhuria vikao kakusanua kuhusu ya kutolea.
  3. Said S Yande

    Katiba Ilidhamiria Watu Wawe Huru Kushiriki Uchaguzi kwa Uhuru wa Kuchagua Viongozi Wanaowataka na Uhuru wa Kugombea,Uhuru Huo Haupo!ni Dhambi Kubwa!

    Hii kitu inapaswa kufunguliwa kesi ila kupata tafsiri ya mahakama Tena kwa hati ya dharula,lakini mahakama zetu ndio hivyo Tena.
  4. Said S Yande

    Kuku wa Polepole alikula 'punje' nne za ubalozi. Sasa anatapa tapa

    Kwani ameenzisha vita au anahoji tu utaratibu wa chama kama umefatwa,ingekuwa busara angejibiwa kuliko hizi persanal attack.jiekezeni kumjibu polepole kwa hoja.
  5. Said S Yande

    Bado nayakumbuka maneno ya hekma ya yule mzee

    Mzee naomba nikufate dm kwa ufafanuzi zaidi
  6. Said S Yande

    Ninawaomba DStv wajitafakari kwa kupandisha gharama zao kila kukicha

    Nadhani wanatapunguza kufikia oktaba kwani imenunuliwa na mmliki mpya ambaye ni canal sport
  7. Said S Yande

    FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

    Mhojaji 🗣️: Unajisikiaje kuhama kutoka klabu kubwa ya Manchester hadi klabu nyingine kubwa nchini Hispania? Marcus Rashford 🗣️: Nani alisema Manchester United ni klabu kubwa? 💀
  8. Said S Yande

    FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

    Marcus Rashford: “Barcelona ni klabu ambayo ndoto za watu hutimia”. "Kile ambacho klabu inasimamia kinamaanisha mengi kwangu pia na ninahisi kama niko nyumbani, na hii ni sababu kubwa katika chaguo langu". "Ninahisi ninajiunga na familia".
Back
Top Bottom