Kwani ameenzisha vita au anahoji tu utaratibu wa chama kama umefatwa,ingekuwa busara angejibiwa kuliko hizi persanal attack.jiekezeni kumjibu polepole kwa hoja.
Mhojaji 🗣️: Unajisikiaje kuhama kutoka klabu kubwa ya Manchester hadi klabu nyingine kubwa nchini Hispania?
Marcus Rashford 🗣️: Nani alisema Manchester United ni klabu kubwa? 💀
Marcus Rashford: “Barcelona ni klabu ambayo ndoto za watu hutimia”. "Kile ambacho klabu inasimamia kinamaanisha mengi kwangu pia na ninahisi kama niko nyumbani, na hii ni sababu kubwa katika chaguo langu". "Ninahisi ninajiunga na familia".
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.