Recent content by Said S Soud

  1. Said S Soud

    JamiiForums Tanzania Habari zilizonifikia muda huu zinasema kwamba.....

    wachezaji wana haki ya kwenda popote na mtasifia saana usajili wenu lkn mwisho wa ligi ubingwa jamgwani
  2. Said S Soud

    JamiiForums Tanzania Watatu wauawa daraja la Mkapa, walikataa amri ya polisi iliyowataka wasimame

    hali ya eneo la kuanzia mkuranga, kibiti, ikwiriri na kuendelea tunasikia kila siku viongozi wa serikali za vijiji na raia wengine wasio na hatia wanauawa na watu wa aina hiyo mlitaka polisi wafanyeje ikiwa juzi tu aliuawa oc cid kibiti na watu wa dizaini hiyo hiyo...
  3. Said S Soud

    JamiiForums Tanzania Toyota rav4 (kili time) 14m maelewano pia yapo

    ipo katika hali nzuri kabisa kwa mawasiliano piga 0756263522
  4. Said S Soud

    JamiiForums Tanzania VIDEO: Chaja Ya Simu Inayochaji Battery Ya Simu Yako Kwa Muda Wa Nusu Dakika

    Nadhani chaja Hii ikifika huku itatusaidia wengi maana kwanza umeme wenyewe majanga
  5. Said S Soud

    JamiiForums Tanzania Al jazeera kama tbc1 jionee mwenyewe!!

    mh aibu sana....
  6. Said S Soud

    JamiiForums Tanzania Msaada, nimeibiwa simu, je naweza kuipata kwa kutumia serial number?

    mm simu yangu nime-install netqin antivirus ambayo ina prog ya anti lost na kuna wakati nillibiwa mtaa wa Congo na baada ya masaa 24 nilifanikiwa kuipata simu. Ni vzr ukiwa smartphone kuinstall prog kama hizi zinasaidia but vinginevyo kuipata simu ni ngumu sana once ukiibiwa au kuipoteza..
  7. Said S Soud

    JamiiForums Tanzania Jahazi la Clouds vs Maskani ya Times FM

    toka Gadner aomdoke Clouds fm kpnd cha Jahazi kimepwaya, nilikuwa msikilizaji mzuri sana wa kipindi hicho lkn kwa sasa nasikiliza Maskani cha Gadner kiko poa sana kuliko Jahazi ya sasa
  8. Said S Soud

    JamiiForums Tanzania symbian megathread: app ambazo hutakiwi kuzikosa za symbian

    Symbian ni operating system software ya nokia phones mf nokia E71 os yake ndo hiyo symbian
  9. Said S Soud

    JamiiForums Tanzania GE2010 Mungai apandishwa kizimbani kwa rushwa

    Hii inadhihirisha kuwa hakuwa chaguo la wanamufindi. Na njia pekee aliyotumia kuingia bungeni miaka yote hiyo ni kwa njia ya rushwa.
  10. Said S Soud

    JamiiForums Tanzania GE2010 Kikwete aahidi usafiri wa treni Dar

    Tumechoka na hadith za Abunuas
  11. Said S Soud

    JamiiForums Tanzania AG awaonya TUCTA kujihusisha na siasa

    Nimesoma maoni ya wadau mbalimbali nimeyafurahia sana. Hii inaonesha ni jinsi gani watu walivyo na mwamko. Nadhani huu ni muda muafaka wa kutoa fundisho kwa viongozi wenye kauli za kijeuri na kutowathamini wananchi waliowaweka madarakani ambao ndio nguzo ya uchumi wa nchi hii na hata wao kuwepo...
Back
Top Bottom