AG awaonya TUCTA kujihusisha na siasa

Naibu katibu mkuu wizara ya kazi amesema tamko la katibu mkuu wa Shirikisho la vyama vya ushirika TUCTA kusema kwamba shirikisho hilo litatoa tamko lake kuhusu mgombea urais anayewafaa wafanyakazi, kuwa ni kinyume na seria na kanuni za serikali ya Tanzania, amedai kazi ya shirikisho hilo ni kutetea maslahi ya wafanyakazi na si kuingilia uhuru wao wa kuchagua viongozi wanaowataka.

Na vilevile amedai wafanyakazi wameongezewa mishahara yao na kodi kwenye misharaha yao imepunguzwa.


My Take:
Kama wewe ni mbayuwayu, changanya na ya kwako.

Kwa wale waliosoma hadithi za Esopo watakumbuka hadithi hii:


Baharia mmoja aliyekuwa akienda safari ndefu baharini alichukua nyani mmoja (siyo NGABU lakini- teh! teh!) kwenye meli yake kusudi awe anamchekesha wakati wa safari ile. Baadaye kidogo baada ya kuanza safari yake kutoka bandarini kwenye pwani ya ugiriki, hali ya hewa ilibadilika ghafla na kusababisha mawimbi wakubwa yaliyopasua meli yake na kuwaacha yeye mwenyewe, nyani wake na mabaharia wengine kupambana kuoegelea majini ili wasalimishe maisha yao.

Samaki mmoja aina ya pomboo (dolphin) akamwona yule nyani akishindana na mawimbi, ila kwa vile samaki hao wana tabia ya kuwasadia binadamu wanapokuwa kwenye dhahama kama ile, basi akaja kumbeba nyani yule mgongoni mwake akidhani kuwa ni binadamu.

Baada ya pomboo yule kuogelea kwa muda mrefau kutoka maji merfu hadi karibu na ufukweni akamwuliza nyani yule kama yeye alikuwa ni mtu wa Athens (mji mkuu wa Ugiriki). Yule nyani akajibu kuwa ndiyo alikuwa mwenyeji wa Athens na alikuwa mzaliwa wa familia bora zaidi katika mji huo. Baadaye pomboo akamuwliza tena nyani kama alikuwa anaifahamu bandari maarufu ya Piraeus. Nyani akajibu, ndiyo namfahamau sana huyo mtu na kwamba alikuwa ni rafiki yake wa karibu sana. Pomboo yule kusikia hivyo akakasirika na kumtosa nyani yule majini baada ya kugundua kuwa alikuwa anajipendekeza na kusema uwongo na.
...

Tumewabeba viongozi wetu hawa kuwatoa maji marefu hadi kuwafikisha karibu na ufukweni lakini wao hawaishi kujipendekza na kutuaambia uwongo kama vile hatustahili kuheshimiwa; inabidi tuwatose. Viongozi wote hawa leo ni matajiri wa kutupwa kutokana na sisi kuwabeba migongoni mwetu kwa muda mrefu sana. walitususia na kututishia lakini sasa ndio wanatambua umuhimu wa kura zetu na kuanza kujikomba kwetu na kutuambia uwongo. Watoswe kabisa hao
 
Mwalimu kichuguu nimeipenda falsafa yako.
Ianbidi sasa tuelimishane hata kwa kutumia tamthiliya!! Hope tutafika tuu..
 
Kwa wale waliosoma hadithi za Esopo watakumbuka hadithi hii:


Baharia mmoja aliyekuwa akienda safari ndefu baharini alichukua nyani mmoja (siyo NGABU lakini- teh! teh!) kwenye meli yake kusudi awe anamchekesha wakati wa safari ile. Baadaye kidogo baada ya kuanza safari yake kutoka bandarini kwenye pwani ya ugiriki, hali ya hewa ilibadilika ghafla na kusababisha mawimbi wakubwa yaliyopasua meli yake na kuwaacha yeye mwenyewe, nyani wake na mabaharia wengine kupambana kuoegelea majini ili wasalimishe maisha yao.

Samaki mmoja aina ya pomboo (dolphin) akamwona yule nyani akishindana na mawimbi, ila kwa vile samaki hao wana tabia ya kuwasadia binadamu wanapokuwa kwenye dhahama kama ile, basi akaja kumbeba nyani yule mgongoni mwake akidhani kuwa ni binadamu.

Baada ya pomboo yule kuogelea kwa muda mrefau kutoka maji merfu hadi karibu na ufukweni akamwuliza nyani yule kama yeye alikuwa ni mtu wa Athens (mji mkuu wa Ugiriki). Yule nyani akajibu kuwa ndiyo alikuwa mwenyeji wa Athens na alikuwa mzaliwa wa familia bora zaidi katika mji huo. Baadaye pomboo akamuwliza tena nyani kama alikuwa anaifahamu bandari maarufu ya Piraeus. Nyani akajibu, ndiyo namfahamau sana huyo mtu na kwamba alikuwa ni rafiki yake wa karibu sana. Pomboo yule kusikia hivyo akakasirika na kumtosa nyani yule majini baada ya kugundua kuwa alikuwa anajipendekeza na kusema uwongo na.
...

Tumewabeba viongozi wetu hawa kuwatoa maji marefu hadi kuwafikisha karibu na ufukweni lakini wao hawaishi kujipendekza na kutuaambia uwongo kama vile hatustahili kuheshimiwa; inabidi tuwatose. Viongozi wote hawa leo ni matajiri wa kutupwa kutokana na sisi kuwabeba migongoni mwetu kwa muda mrefu sana. walitususia na kututishia lakini sasa ndio wanatambua umuhimu wa kura zetu na kuanza kujikomba kwetu na kutuambia uwongo. Watoswe kabisa hao

Kichuguu, sikujua kama na wewe ni mzuri katika uandishi. Safi sana, mfano wako ni relevant sana.
Point taken
 
Yani Slaa kukohoa tu tayari CCM wamepandwa mchecheto hadi kutoa nyongeza kwa wafanyakazi.Nadhani akisema anaomba kura za wastaafu wa ex-Jumuiya ya Afrika Mashariki basi wazee wetu nao watalipwa.Lakini matendo haya ya serikali ya JK yanabaki kuwa silaha nzuri tu kwa Slaa kwa vile inathibitisha kuwa uwezo wa serikali kuboresha hali ya watumishi wake upo ila inasubiri shinikizo.

Go Slaa go!
 
Yani Slaa kukohoa tu tayari CCM wamepandwa mchecheto hadi kutoa nyongeza kwa wafanyakazi.Nadhani akisema anaomba kura za wastaafu wa ex-Jumuiya ya Afrika Mashariki basi wazee wetu nao watalipwa.Lakini matendo haya ya serikali ya JK yanabaki kuwa silaha nzuri tu kwa Slaa kwa vile inathibitisha kuwa uwezo wa serikali kuboresha hali ya watumishi wake upo ila inasubiri shinikizo.

Go Slaa go!
CCM wameboronga sehemu nyingi sana hawawezi kuzi cover zote kwa muda huu. Dr.Slaa anazo silaha kubwa kubwa za kuwamaliza wee ngoja vita ianze CCM watakosa pa kujichimbia. Haya Na sasa hivi Wazenj nao wamewakalia kooni yaani sijui JK analala vipi maanake hata safari za nje zimekoma.
 
IKIWA imesalia takriban miezi miwili na nusu kabla ya uchaguzi mkuu, serikali inaonekana kuwaangukia wafanyakazi kwa kuongeza mishahara, huku kima cha chini "kikikaribia mapendekezo ya pili ya Tucta ya Sh260,000" ambayo awali yalikataliwa na serikali.

Ongezeko hilo limefanyika katika kipindi ambacho kauli ya Rais Jakaya Kikwete kuhusu kura za wafanyakazi ikianza kutumiwa kama mtaji wa kisiasa na wanasiasa katika kipindi cha kuelekea uchaguzi mkuu uliopangwa kufanyika Oktoba 31.

Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi (Tucta) ilieleza kukerwa na kauli ya Kikwete kuwa serikali yake haitaweza kulipa kima cha chini cha mshahara cha Sh315,000 kama shirikisho hilo na kwamba "kama ni hizo kura za wafanyakazi niko tayari kuzikosa". Tucta ilisema kuwa jana ingetoa tamko lake kuhusu mgombea ambaye atawafaa wafanyakazi.

Lakini jana hakuna kiongozi aliyekuwa tayari kutoa tamko la wafanyakazi na habari zinasema kuwa kusita huko kunatokana na ongezeko la kuridhisha la mishahara ya wafanyakazi wa sekta ya umma.

Mwananchi ilipomuhoji katibu mkuu wa Tucta, Nicolas Mgaya kuhusu tamko la shirikisho hilo, alisema kiwango kilichoongezwa kinakidhi mahitaji ya watumishi wa umma kukabiliana na hali ngumu ya maisha ingawa hakijafikia matakwa ya Tucta.

"Matatizo yetu na serikali yamepungua... kiasi kilichoongezwa kinapunguza makali ya maisha kwa watumishi wa umma. Tunafikiria kumpa pilau yetu kiongozi anayesikiliza matatizo ya watu wake," alisema Mgaya ambaye hata hivyo hakuwa tayari kuweka wazi kiwango cha nyongeza hiyo.

Nyongeza hiyo ya mishahara imeanza kutolewa kinyemela bila wafanyakazi kujulishwa mabadiliko katika mishahara yao na badala yake kushitukia wamewekewa fedha zaidi katika akaunti zao za mishahara. Habari zinasema kuwa tayari waraka umeshapelekwa idara tofauti za serikali kuwaeleza viwango vipya vya mishahara na kwamba mabadiliko hayo ni kwa wafanyakazi wa ngazi zote.

Habari za uhakika ambazo gazeti hili inazo zinasema kuwa hatua ya serikali kuongeza mishahara ya wafanyakazi wake imeanza kutekelezwa mwishoni mwa mwezi uliopita wa Julai.

Katika hotuba yake ya kuzungumzia mafanikio yaliyopatikana katika kipindi cha miaka mitano ya utawala wa serikali ya awamu ya nne, Rais Kikwete alisema kuwa kima cha chini kiliongezeka kutoka Sh84,000 kwa mwaka 2005 hadi Sh 135,000 kwa mwaka 2010. Kauli yake ilimaanisha kuwa mshahara mpya wa kima cha chini, ambao ulitakiwa utangazwe na waziri husika, ulipanda kutoka Sh105,000 hadi Sh135,000.

Waziri Hawa Ghasia, akisoma hotuba ya bajeti ya 2010/11 ya Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma, alisema kuwa serikali itaongeza mishahara ya wafanyakazi, lakini hata hivyo hakutaja viwango vya nyingeza hiyo.

Tucta iliitisha mgomo Mei 5 ikiwa katikati ya mazungumzo ya utatu kuhusu kima cha chini cha wafanyakazi wa sekta ya umma, kupanua wigo wa kodi ili kumpunguzia mfanyakazi mzigo na kuboresha mafao kwenye mifuko ya hifadhi ya jamii.

Katika vikao hivyo, Tucta ilipendekeza kuwa kima cha chini kiwe Sh315,000 lakini serikali ikagoma kwa maelezo kuwa haina uwezo wa kulipa zaidi ya wafanyakazi takriban 350,000 na ndipo Tucta ilipowasilisha pendekezo la pili la Sh260,000 ambalo pia lilikataliwa. Tucta ilishuka hadi pendekezo la Sh160,000, lakini nalo halikukubaliwa na badala yake kima cha chini kikawa Sh135,000.

Juzi, Tucta ilidokeza sifa ya mgombea anayetakiwa wa urais wa Jamhuri ya Tanzania na kueleza kuwa wafanyakazi wasilazimishe "kumpa pilau mtu asiyetaka, bali wampe yule anayezihitaji". Kaimu katibu mkuu wa Tucta, Nicolas Mgaya alisema: "Kuna ile kauli ya 'kama ni hivyo, na kura zao sizitaki.

Kwani jamani kama una karamu nyumbani kwako; mtu akaja ukampa pilau; akalikataa, utamlazimisha ama utampa yule anayekwambia anaihitaji?" Alikuwa akirejea kauli ya Rais Jakaya Kikwete aliyoitoa wakati akizungumza na wazee wa Dar es salaam kuhusu mgomo uliopangwa kufanyika Mei 5 mwaka huu kuishinikiza serikali kuongeza kima cha chini cha wafanyakazi wa sekta ya umma, kupunguza kodi inayokatwa kwenye mishahara na kuboresha mafao ya wastaafu.

Alisema serikali imeanza kutekeleza mapendekezo yaliyotolewa na shirikisho lake kuhusu kima cha chini cha mshahara kwa watumishi wa serikali akisistiza kuwa hatua hiyo itaweza kupunguza ugumu wa maisha pamoja na mgogoro baina yake na serikali.

Source Gazeti la mwananchi

"Ni juu ya wafanyakazi kujihoji kama wapo tayari maisha yao kuboreshwa kila wakati wa uchaguzi au yanahitaji kufanyiwa mabadiliko makubwa. Kama watalainika thsi time, then watarajie kudumu na hali hiyo tena hadi miaka mitano ijayo atakapokuja mtawala mwingine na ahadi kem kem, then wasote ka miaka mingine mitano zaidi ndio mtawal huyo atakapokuwa anaomba kuchaguliwa kipindi cha pili ndo watatupiwa tena kamfupa kidogo"

Kuna msemo wa kilugha wenye tafsiri kuwa usidanyanywe na punje ukaacha bakuli la chakula. Hii ni punje wanapewa wafanyakazi, na wakilainika tu, wamekwisha. Ndio maana kauli mbiu ya chadema mwaka huu kuwa" hatudanganyiki" CCM wanadanganya wananchi sana, huo ndio ukweli. Tusingefikia hapa tulipofikia kama CCM wangekuwa wakweli na kuonyesha udhati katika kutatua shida za wananchi wake.
 
Kichuguu ametoa ufafanuzi mzuri unaozingatia Historia. Lakini watasikiliza? Wameogopa mno!

Definition ya KIBARAKA ni nini? Si ni mtu anetumiwa kuhujumu matakwa ya wengi? Hatuwezi kusema AG na makamu wake wameamua kuwa VIBARAKA wa CCM? Wananchi watakaporudisha nchi mikononi mwao itabidi wawaajibishe hawa vibaraka!
 
Kama kuna sheria inayokataza vyama vya wafanyakazi kujishirikisha katika siasa hiyo sheria ndiyo iliyo ya kikandamizi.

“Public servants rules and regulations of 2005 need public servants to remain loyal to the government in power and maintain political neutrality at work places. The aim is to make sure that the public service sector is sustainable and disciplined.”

Eric Shitindi, Acting Permanent Secretary in the President's Office, Public Service Management
Friday August 13, 2010
 
"Public servants rules and regulations of 2005 need public servants to remain loyal to the government in power and maintain political neutrality at work places. The aim is to make sure that the public service sector is sustainable and disciplined."

Eric Shitindi, Acting Permanent Secretary in the President's Office, Public Service Management
Friday August 13, 2010

1. This is about public servants, TUCTA is "The Trade Union Congress of Tanzania". The two may overlap, but the former is a subset of the latter and therefore using a reasoning that is only relevant to the subset (public servants) to determine the fate of the universal set of trade unions is ridiculous. Kundi hili lina polisi, na polisi hawaruhusiwi kuvuta sigara, therefore kundi hili haliruhusiwi kuvuta sigara, what kind of dilapidated logic is this ?

2. An argument can be made that even for public servants, this law is colonial in nature and in violation of some constitutional rights, loyalty cannot be legislated, and political neutrality at the workplace must not be threatened by political endorsements. The state of Massachussetts State Police Union (public servants) chose not to endorse the current governor Deval Patrick because the governor was not representing the unions interests and had to cut a lot of Massachussets police overtime ( see some of the related stories here and here). Polisi wanaandamana kwa sababu gavana kawayayusha katika kupata kazi za "security detail". Union yao imesema haita mpendekeza gavana Patrick katika uchaguzi ujao. Watu wanajua haki za wafanyakazi hao. Bongo tunaambiwa civil servant hana haki. Mambo yale yale wakoloni wa Kiingereza waliyomwambia Nyerere, mpaka ikabidi Nyerere ajiuzulu ualimu ili aweze kufanya kazi za siasa. At least then ungeweza hata kusema Nyerere hakuweza ku guarantee kutoa muda wake katika ualimu, leo hata watu kutoa a political direction kwa endorsement hawawezi.

In Britain for example, where we cite many of our precedents and where the trade union movement has strong roots , these unions have a great and open say in elections and traditionaly have practically owned the Labor party. For example in the 1975 election they sponsored directly 128 labor MPs, paid 3/4 of the party's national funds and 95% of it's election expenses. Uingereza Trade Unions zinaweza hata kuchangia vyama vya siasa kiuchumi kwa mujibu wa "The Trade Union Act of 1913", miaka takriban 100 iliyopita! Johnson, Paul "Modern Times: The World From The Twenties To The Nineties". A. Flanders, "Trade Unions". Burton, John "The Trojan Horse : Union Power in British Politics, 601, 48, 50

I know that some may doubt the suitability of these examples to Tanzania. The government actually cleverly circumvents and preempts these examples by introducing the question of history, which is really a smokescreen for them to create any anomaly according to their wishes. If we want a democracy's trade unions the above are desirable standards, otherwise we miht as well return to JUWATA, that "trade union" arm of the ruling party, or for that matter, why not re-institute chiefdoms completely and foret everything about some Westphalian modern state.

Wenzetu hawaongelei endorsement, wanaruhusu vyama vya wafanyakazi kuchangisha hela kwa vyama vya siasa vinavyowawakilisha vizuri. CCM inaogopa hata wakitaka kukohoa.
 
Serikali imeingiza kiwango fulani cha shilingi katika mshahara wa mfanyakazi, hakieleweki ni kupandishwa kwa mishahara au rushwa.

Wafanyakazi hatudanganyiki
 
NIMESHANGAZWA NA USIRI WA SERIKARI KTK ONGEZEKO LA MISHAHARA YA WAFANYAKAZI HASWA KIPINDI HIKI KUELEKEA UCHAGUZI MKUU,YOTE HAYO NAJUA NI MATOKEO YA PRESHA YA UJUMBE UNAOSAMBAZWA KWA KASI WA WAFANYAKAZI KUINYIMA KURA CHAMA TAWALA KTK UCHAGUZI MKUU UJAO,KWANGU HIKI NI KIINI MACHO,RAI KWA WAFANYAKAZI NI KWAMBA TUSIDANGANGANYIKE:lying::embarrassed1:


....sasa hivi JK anajaribu kuwalamba miguu wafanyakazi ...na kujutia juhudi za wafanyakazi...hili la mshahara kupanda ni sehemu ya propaganda.....kwa kuwa ameshasema ni siri...kila ataaminika...,

na katika juhudi za karibuni kuna pilika pilika kubwa maofisi na idara za serikali kuwataka watumishi wa umma ...wamsindikize muheshimiwa atakapokuwa anarudisha fomu...na offcourse watalipwa posho wote watakaomsindikiza muheshimiwa siku hiyo[tutakaoandamana bure ...shauri yetu?]...na mabango ya wafanyakazi kuwalaani TUCTA na kuonesha mshikamano kwa rais yataaandaliwa ....na watabebeshwa wafanyakazi..........ni dhahiri tishio la CHADEMA na karipio la rais kuwataka CCM wasidharau upinzani ...linafanya serikali kuanza kutumia resources zake [wafanyakazi wake na pesa] kumkampenia mkuu.....nadhani waliosoma mwanahalisi majuzi wataona mweendelezo huu wa resource za wananchi kuanza kutumika .....kama zilivyotuumika za BOT ...sasa ni za ikulu...zinazohamishwa kutoka kwenye vifungu mbali mbali mawizarani.....na hadi sasa zaidi ya dola milioni 10 zimeshatumika kwa ikiwa pamoja na zile za kuchapicha picha dola milioni 2 zipo huko....nyingine zimeshapisha makofia,fulana....etc....na bado!!!...wameshasema wanaataka dola milioni 40.....kama zile walizokwapua mwaka 2005...mwaka huu wanakwapua lakini wameaanza kuzisafisha kwa kudai eti wanachangiwa kwa SMS...na Nyingine wamechangisha juzi hapo dar bilioni 4[kwa siri]....hata magazeti yalikuja kutoa habari hizo siku tatu baadaye tena ukurasa wa 5[nipashe]....na wala wasitaje ni nani alitoa ngapi...kama ilivyo desturi ya harambee....ni wazi kwenye wachangiaji hao wapo watu wanaoonekana ni mafisadi....na ingekuwa aibu kujulikana kuwa ndio waliomchangia mkuu......hapakuwa na uwazi kwenye harambee ....

sasa na hao TUCTA wahoji kama pesa za mishahara wanakosa wanapata wapi bilions toka hazina through ikulu ku finance kampeni za mkuuu.......na hapo hapo jana katibu mkuu wa utumishi anawapiga mkwara tucta...?????..ni wazi wafanyakazi watakula sana pesa za posho ili wampigie kampeni mkuu lakini baada ya kampeni shida ni ile ile???..changanya na zako!!..
 
Nimesoma maoni ya wadau mbalimbali nimeyafurahia sana. Hii inaonesha ni jinsi gani watu walivyo na mwamko. Nadhani huu ni muda muafaka wa kutoa fundisho kwa viongozi wenye kauli za kijeuri na kutowathamini wananchi waliowaweka madarakani ambao ndio nguzo ya uchumi wa nchi hii na hata wao kuwepo madarakani. Kuongeza mshahara sasa ni kutudanganya siku zote mlikuwa wapi. Dhambi hii ya kutudharau lazima iwarudie.
 
WANASEMA UKIMWONA TEMBO AMEMKANYAGA MKIA PANYA NA UKAULIZWA NANI MWONEZI NA JIBU LAKO LIKAWA SIJUI BASI WEWE NI SEHEMU YA UONEZI,SERIKALI INAWEWESEKA,HAITAKI KUWAAMBIA WATU UKWELI,INATOA VITISHO,MGAYA USIRUDI NYUMA WEWE NA UKAHUKUMIWA NA HISTORIA,SIMAMAIA HAKI HATA KAMA ITAKUGHARIMU,ENDELEZA JITIHADA ZAKO KUWAKOMBOA WAFANYAKAZI,WAONYESHE NJIA,HAKUNA KURUDI NYUMA MUDA WA MABADILIKO NI SASA:smash:
 
Wacha aendelee na kukiona kilichomtoa kanga manyoya,unafikiri serikali ni chadema!(he will swim in hot soup!)
kama unabisha nawe ingia uone utamu wake!
 
Big up Mgaya mapinduzi ya wafanyakazi yamefanikiwa nchi nyingi sana duniani,msipumbazwe na ako kamshahara walikongeza kinyemela.
Wasushe na kodi pia
 
Its time for changes, If you can't fullfill your responsibility Mr Mgaya, wait smart people will come and make tanzanians BE PROUD OF THEIR COUNTRY. Its your time, do the right for the workers.

Watu wanakula kodi zetu tu bila kuwa wabunifu wa kupata mapato! We need young and smart people to be employed on governement institutions siyo longo longo za saizi, watu hawapigi kazi, wanapiga soga tu.
 
These comments are stupid and uncalled for.At worst it only pushes the difference of the workers union TUCTA and the Ruling party into the worst ever conflict.
Common sense requires that this issue be resolved behind the scenes to avert any public fall out.

Well they are indeed stupid comments. How dare can he criticize them for exact thing he is doing? And where is the line of demarcation between politics and what isn't. Who went public first, TUCTA or JK? it is Mr President who politicized the whole issue in first place, let him pay the price for what he did.

Tukumbuke nadharia ya social contarct, iwe toa na chukua, sio yeye achukue tu na watu ambao ndio wanafanya kazi kila kukicha waendelee kusuffer.
 
Back
Top Bottom