Recent content by said reuben

  1. said reuben

    Huku mtaani Rais Samia hakubaliki kivile, Upinzani wangekuwa na Mikakati 2025 wangeichukua nchi

    Ukiachana na tabia za watanzania lakini nchi hii ilifika mda tupate raisi ambaye atakuwa anafanya maamuzi magumu kwa ajili ya manufaa ya taifa na RAISI Magufuli alipendwa sababu ya kuwaweka sawa watu wa hali ya chini na wajuu kwenye kundi moja bila mmoja kupewa kipaumbele, zamani ilikuwa tajiri...
  2. said reuben

    Nyumba ya vyumba viwili inagharimu kiasi gani?

    Jamani nimenunua kiwanja kikubwa tu lakini mm sijajenga na mama yangu hajajenga na hana kiwanja na karibu anastaafu sasa nilikuwa nataka kujenga nyumba ya vyumba vitatu nikaona baadaye itakuja kuleta shida maana nina dada wawili na mm wa kiume pekee yangu. Nimeona nikijenga ya vyumba vitatu na...
  3. said reuben

    CT SCAN

    naomba kujulishwa bei ya kufanya ct scan muhimbili
  4. said reuben

    RITA acheni usumbufu

    Mm nilienda rita siku moja nikapata cheti cha kuzaliwa [emoji1787] nakushauri ukifika pale uliza MZEE anaitwa ELIA NENDA OFISINI KAONGEE NAE ATAKUSAIDIA
  5. said reuben

    Umoja wa Ulaya wapinga hatua za kijeshi za Marekani katika Ghuba ya Uajemi

    Inshu ni wakimbizi kama jamaa alivyosema.. Ulaya inaangaika ili kuzuia kuongezeka idadi ya wakimbizi kwani ikitokea vita ni nchi za ulaya ndo uathirika zaidi
  6. said reuben

    Msaada: Jinsi ya kupata Visa - Dubai

    Hii story naipata wapi
  7. said reuben

    Msaada wa jinsi ya kwenda Marekani nimepata mchumba huko

    Kaka mm mwenyewe nimeoa mwanamke wa kizungu, mjerumani tulikutana Facebook last year November na nimemuoa mwezi wa sita tarehe 25 cha msingi ni kwenda kwa mkuu wa mkoa na elfu hamsini siku 20 kabla ya ndoa na watataka copy ya passport yake u nasubir tarehe ifike umemaliza sana sana watataka...
  8. said reuben

    Ugonjwa wa Vidonda vya Tumbo (Peptic Ulcers Disease): Kinga, tiba na ushauri

    Ni Hilo tu maana napata maumivu kama nachomwa na sindano kifuani halafu naskia maumivu mpka tumbon
  9. said reuben

    Nisaidieni Ndugu zangu

    Jina lenyewe ndumila kuwili [emoji1787][emoji1787][emoji1787] utakua unapiga shoo uku unawaza vitu vingine ndo maana unawahi
  10. said reuben

    Nisaidieni Ndugu zangu

    Kaka mm nimepiga mwaka wa kumi na tano chaputa ila ngoma bado kamshange nashangaa ww miaka nane unalia lia sasa kwa taharifa yako nilipata mwanamke kama wiki tatu nyuma nilipiga bao nane za nguvu sio za kitoto nashangaa ww miaka nane unalia lia, tatizo sio chaputa tatizo ni mind set yako
  11. said reuben

    Kupima magonjwa yote

    Samahan jamani nimecheki magonjwa kibao sikutwi na tatizo lakin mtu bado najihisi naumwa, ukimwi ndo karibu mara nane sasa tangu mwaka uanze lakini hamna kitu nataka kujua nikipimo gani unaweza pima magonjwa yote na ni sh ngap??
  12. said reuben

    Ct scan

    Naomb kujua gharama za ct scan kwa hospital binafsi
  13. said reuben

    Kifua, ct scan, mapafu

    Nimefanya vipimo vyote, tumia dawa zote za kuhusu tatizo na kifua kuuma upande wa kulia kwa mda Sasa lakin sina kuanzia, ecg echo, damu kupima mgonjwa mengine kama dengu, maralia yote sina.. Nataka kujua kipimo cha kucheck mapafu,
  14. said reuben

    Tumbo kujaa gesi kama linaunguruma, vichomi na maumivu makali upande wakulia kifuani

    Wazee naombeni msaada wa jambo langu juu hapo
  15. said reuben

    Najuta kuoa

    Ww ni mwanaune hao walitoka ubavuni Acha kuwa fala
Back
Top Bottom