Msaada: Jinsi ya kupata Visa - Dubai

Msaada: Jinsi ya kupata Visa - Dubai

Nimekuelewa Mkuu;

Changamoto:

*Sina hiyo 2ml ya kudepost.
*Sina yeyote ndg/rafiki/jamaa aliye huko.

*Kuhusu Gharama ulizoorodhesha ninazo/naweza kupata*

OMBI:
Una mtu yeyote aliyeko huko(Mwaminifu) uniunganishe nae NIMTUMIE HELA ANITAFUTIE VISA?.

SWALI?.

IKITOKEA NIKAPATA KAZI NDANI YA HIYO MIEZI 3.
JE,NARUHUSIWA KUBADILI VISA NA KUPEWA WORK PERMIT(KUANZA KUFANYA KAZI) BILA KUTOKA KWANZA NJE YA DUBAI?.

WITO:
Ndg wana jukwaa mlio Dubai nahitaji msaada wenu katika hili.
Uzuri wa dubai work permit unataftiwa na aliyekuajiri,

Ninaweza nikakuunganisha na mtu akakutaftia maana kipindi niko dubai nimekaa hata abu dhabi, sharja ,fujaira na maeneo kibao,

Hivyo ni pm au nipate kwa simu nadhani namba yangu unayo,

Yaan we ukipata visa ukapata kazi anayekuajiri ndo anakutaftia permit ya kuishi na kazi, kwa dubai, hata nchi nyingine ni hivo, ila kwa baadhi ya nchi unakuta waajiri hawana uwezo mnashare gharama,

Ila sasa huyu atakayekupa visa utamuongezea yake ya soda badala ya 200 anaweza kataka 300 USD
 
Uzuri wa dubai work permit unataftiwa na aliyekuajiri,

Ninaweza nikakuunganisha na mtu akakutaftia maana kipindi niko dubai nimekaa hata abu dhabi, sharja ,fujaira na maeneo kibao,

Hivyo ni pm au nipate kwa simu nadhani namba yangu unayo,

Yaan we ukipata visa ukapata kazi anayekuajiri ndo anakutaftia permit ya kuishi na kazi, kwa dubai, hata nchi nyingine ni hivo, ila kwa baadhi ya nchi unakuta waajiri hawana uwezo mnashare gharama,

Ila sasa huyu atakayekupa visa utamuongezea yake ya soda badala ya 200 anaweza kataka 300 USD
Ngoja nikutafute sasa hivi Boss
 
Hongera mkuu kwa kuchukua maamuzi kama hayo.

- La kwanza hakikasha unachukua visa ya miezi mitatu, (wiki mbili ni ndago sana kwa ishu ya kutafuta kazi)
- tafuta mtu dubai au zanzbar akotolee visa inapatikana kwa urahisi sana, na nafikiria pia kwa kupitia ndege zao Emarates au Fly Dubai mazingira ya visa yanarahisika zaidi ungejaribu pia kwenda kwenye ofisi zao.
- Visa inapatikanwa baada ya siku tatu za kazi ndio taratibu hasa ukipata mtu wa kule. (hao wasiku 14 niwasumbufu tu)
- guest house average bei ni 45 - 50usd a day hiyo ndio chepest utakayopata. (kwaiyo ukifikia ujiandae kabisa masuala ya kutafuta sehemu ya bed space ili usikae masiku hoteli.
- Gold Plaza, naif road at gold souk, Deira. Queen hotel sabha road, Deira. Naif view hotel, Deira. Dowan town nayo pia Deira. (ni baadhi ya Guest house unazoweza kufikia ikiwa utakosa mwenyeji, bila ya ivo unaweza kuja kujikuta umeangukia hotel ya bei kubwa, Na pia imagration wakikuona mpya mpya unashangaa shangaa wanaweza kukubana kukuuliza wapi unafikia kwiyo uwe namajibu yakuwapa)
- Na kuhusu unapopata kazi. Kwa ufahamu wangu nahisi kitaratibu itakubidi urudi huku baada ya kupata kazi halafu uwende tena. Mara nyingi wao hukutumia ticket japokua wengine hukukata kidogodogo kwenye mshahara. (na masuala ya work permit wnashuhulikia wenuewe waajiri)
- Hakikisha una pesa ya kutosha ya hakiba.
Ila mwanangu ukifanikiwa kupata kazi dubai ushatulia kabisa. Straggling miaka miwili ya mwanzo zitakuepo jiandae nazo kwaiyo uvumilivu unahitajika unless ule Bingo kazi ya maana. Lakini mara nyingi watu wengi kazi ya mwanzo inakua yakuanzia maisha tu pale, lakini kila utakavokaa utapata uzoefu wa jiji na opportunity nyingi utaziona. Ugumu wa Dubai ni ile starting point.
- Na dubai uwe makini sana kufata sheria kila kitu faini ikikushinda unatiwa ndani, usije kuja kujitia kwenye basi la abiria au train bila ya kadi tena yenye kiwango cha pesa kinachotakiwa utaumbuka mkuu.
 
Hongera mkuu kwa kuchukua maamuzi kama hayo.

- La kwanza hakikasha unachukua visa ya miezi mitatu, (wiki mbili ni ndago sana kwa ishu ya kutafuta kazi)
- tafuta mtu dubai au zanzbar akotolee visa inapatikana kwa urahisi sana, na nafikiria pia kwa kupitia ndege zao Emarates au Fly Dubai mazingira ya visa yanarahisika zaidi ungejaribu pia kwenda kwenye ofisi zao.
- Visa inapatikanwa baada ya siku tatu za kazi ndio taratibu hasa ukipata mtu wa kule. (hao wasiku 14 niwasumbufu tu)
- guest house average bei ni 45 - 50usd a day hiyo ndio chepest utakayopata. (kwaiyo ukifikia ujiandae kabisa masuala ya kutafuta sehemu ya bed space ili usikae masiku hoteli.
- Gold Plaza, naif road at gold souk, Deira. Queen hotel sabha road, Deira. Naif view hotel, Deira. Dowan town nayo pia Deira. (ni baadhi ya Guest house unazoweza kufikia ikiwa utakosa mwenyeji, bila ya ivo unaweza kuja kujikuta umeangukia hotel ya bei kubwa, Na pia imagration wakikuona mpya mpya unashangaa shangaa wanaweza kukubana kukuuliza wapi unafikia kwiyo uwe namajibu yakuwapa)
- Na kuhusu unapopata kazi. Kwa ufahamu wangu nahisi kitaratibu itakubidi urudi huku baada ya kupata kazi halafu uwende tena. Mara nyingi wao hukutumia ticket japokua wengine hukukata kidogodogo kwenye mshahara. (na masuala ya work permit wnashuhulikia wenuewe waajiri)
- Hakikisha una pesa ya kutosha ya hakiba.
Ila mwanangu ukifanikiwa kupata kazi dubai ushatulia kabisa. Straggling miaka miwili ya mwanzo zitakuepo jiandae nazo kwaiyo uvumilivu unahitajika unless ule Bingo kazi ya maana. Lakini mara nyingi watu wengi kazi ya mwanzo inakua yakuanzia maisha tu pale, lakini kila utakavokaa utapata uzoefu wa jiji na opportunity nyingi utaziona. Ugumu wa Dubai ni ile starting point.
- Na dubai uwe makini sana kufata sheria kila kitu faini ikikushinda ******* ndani, usije kuja kujitia kwenye basi la abiria au train bila ya kadi tena yenye kiwango cha pesa kinachotakiwa utaumbuka mkuu.
Ahsante sana Mkuu,nashukuru kwa darsa la kutosha Boss,nimepata mwanga kwa kiasi kikubwa Boss,shukrani sana!!.
 
Hongera mkuu kwa kuchukua maamuzi kama hayo.

- La kwanza hakikasha unachukua visa ya miezi mitatu, (wiki mbili ni ndago sana kwa ishu ya kutafuta kazi)
- tafuta mtu dubai au zanzbar akotolee visa inapatikana kwa urahisi sana, na nafikiria pia kwa kupitia ndege zao Emarates au Fly Dubai mazingira ya visa yanarahisika zaidi ungejaribu pia kwenda kwenye ofisi zao.
- Visa inapatikanwa baada ya siku tatu za kazi ndio taratibu hasa ukipata mtu wa kule. (hao wasiku 14 niwasumbufu tu)
- guest house average bei ni 45 - 50usd a day hiyo ndio chepest utakayopata. (kwaiyo ukifikia ujiandae kabisa masuala ya kutafuta sehemu ya bed space ili usikae masiku hoteli.
- Gold Plaza, naif road at gold souk, Deira. Queen hotel sabha road, Deira. Naif view hotel, Deira. Dowan town nayo pia Deira. (ni baadhi ya Guest house unazoweza kufikia ikiwa utakosa mwenyeji, bila ya ivo unaweza kuja kujikuta umeangukia hotel ya bei kubwa, Na pia imagration wakikuona mpya mpya unashangaa shangaa wanaweza kukubana kukuuliza wapi unafikia kwiyo uwe namajibu yakuwapa)
- Na kuhusu unapopata kazi. Kwa ufahamu wangu nahisi kitaratibu itakubidi urudi huku baada ya kupata kazi halafu uwende tena. Mara nyingi wao hukutumia ticket japokua wengine hukukata kidogodogo kwenye mshahara. (na masuala ya work permit wnashuhulikia wenuewe waajiri)
- Hakikisha una pesa ya kutosha ya hakiba.
Ila mwanangu ukifanikiwa kupata kazi dubai ushatulia kabisa. Straggling miaka miwili ya mwanzo zitakuepo jiandae nazo kwaiyo uvumilivu unahitajika unless ule Bingo kazi ya maana. Lakini mara nyingi watu wengi kazi ya mwanzo inakua yakuanzia maisha tu pale, lakini kila utakavokaa utapata uzoefu wa jiji na opportunity nyingi utaziona. Ugumu wa Dubai ni ile starting point.
- Na dubai uwe makini sana kufata sheria kila kitu faini ikikushinda ******* ndani, usije kuja kujitia kwenye basi la abiria au train bila ya kadi tena yenye kiwango cha pesa kinachotakiwa utaumbuka mkuu.
Siyo mpaka arudi huko, anaweza aka exit kwenda nchi ya karibu, zamani walikuwa wana exit kwenda Quesh iran, na nchiI jirani ili visa itoke, maana haiwez kutoka kama uko ndani ya UAE
Anaweza enda India au oman, au nchi ya karibu na hapo,

Ila umempa nondo nzuri sana
 
Siyo mpaka arudi huko, anaweza aka exit kwenda nchi ya karibu, zamani walikuwa wana exit kwenda Quesh iran, na nchiI jirani ili visa itoke, maana haiwez kutoka kama uko ndani ya UAE
Anaweza enda India au oman, au nchi ya karibu na hapo,

Ila umempa nondo nzuri sana

walikua wanatumia sana kwenda Oman. Ila nilisikia sikuhizi pia inaleta usumbufu sasa sijafatilia bado usumbufu wa aina gani.
 
Siyo mpaka arudi huko, anaweza aka exit kwenda nchi ya karibu, zamani walikuwa wana exit kwenda Quesh iran, na nchiI jirani ili visa itoke, maana haiwez kutoka kama uko ndani ya UAE
Anaweza enda India au oman, au nchi ya karibu na hapo,

Ila umempa nondo nzuri sana
Mnaendelea kunifungua sana akili Mkuu, haya mambo nisingeyajua kama ningeamua kukaa kimya na kufanya siri,ahsanteni sana Wakuu,ipo siku nina imani nitakuwa na share experience kwa wengine pia.
 
DUBAI uwe makini tu mkuu, mwenzio nimepindwa miaka mitatu nimerudi mifuko mitupu. Pesa yote nimeimalizia kwa madem na misosi.

Wasomali, Waethopia, Wanigeria, Wakenya, WaLebanoon, Wahindi, waphilipino, waTunisia kiufupi vurugu tupu. Kama sie watoto wa Dar tumezimaliza hukohuko tumebakisha kutoa stori tamutamu tu vijiweni. ili uinusuru pesa yako ukitoka job ujifungie ndani tu.
Na kuhusu misosi yani we acha tu.
 
DUBAI uwe makini tu mkuu, mwenzio nimepindwa miaka mitatu nimerudi mifuko mitupu. Pesa yote nimeimalizia kwa madem na misosi.

Wasomali, Waethopia, Wanigeria, Wakenya, WaLebanoon, Wahindi, waphilipino, waTunisia kiufupi vurugu tupu. Kama sie watoto wa Dar tumezimaliza hukohuko tumebakisha kutoa stori tamutamu tu vijiweni. ili uinusuru pesa yako ukitoka job ujifungie ndani tu.
Na kuhusu misosi yani we acha tu.
Hahaha nimejikuta nacheka Mkuu Pole sana aisee!!.
 
Kwl Mkuu,ndiyo maana nimeandika kama kuna mtu aliyeko Dubai angenipa taarifa kamili ingenisaidia sana!!.
Why Dubai? Usinijibu mimi nakupa formula ambayo mie hutumia. Jiulize hilo swali over and over ukiona huna hata chembe ya doubts. Proceed. All the best bro.
 
Visa ya Dubai ni simple kupata,

Ila kuna issue ya kudhaminiwa maana vijana wakipata visa wakienda wana overstay

Mpaka upate mtu wa kukudhamini kwamba ukienda utarudi,au uweke deposit ya kuku guarantee 2 million

Visa kwa mwezi mmoja ni 150 USD

Miez mitatu ni 200 USD it depend na agent alokutaftia visa,

Ila ukiombea Tz lazima uweke deposit ya milion kama 2 kwa atakayekutaftia visa ili ukioverstay aitumie kulipa faini,

Lakin kama una mtu anayeish dubai unamtumia hela anakutaftia visa bila deposit, ye ndo anakudhamini kwa EMIRATES ID yake,

Nauli inategemea umebook ndege gani na msimu.upi, kama sasa.kuna punguzo la ramadhan kwa EMIRATES ni 380 USD return ticket

Sehem za kuish,

Dubai wanakaa kwenye Bed spaces, yaan mnachangia vitanda na kwa mwezi ni AED 600 sawa na laki 3 na 40 ya Tz,

Nakushauri chukua visa ya miez mitatu iwe rahisi kwako kupata kazi, usichukue ya mwezi mmoja itakusumbua,

Fanya hivi

Nauli 900,000
Visa 300,000
Room 700,000 kwa miez miwili angalau,
Chakula andaa 15000 per day

2,500,000 inakutosha kabisa
good
 
Visa ya Dubai ni simple kupata,

Ila kuna issue ya kudhaminiwa maana vijana wakipata visa wakienda wana overstay

Mpaka upate mtu wa kukudhamini kwamba ukienda utarudi,au uweke deposit ya kuku guarantee 2 million

Visa kwa mwezi mmoja ni 150 USD

Miez mitatu ni 200 USD it depend na agent alokutaftia visa,

Ila ukiombea Tz lazima uweke deposit ya milion kama 2 kwa atakayekutaftia visa ili ukioverstay aitumie kulipa faini,

Lakin kama una mtu anayeish dubai unamtumia hela anakutaftia visa bila deposit, ye ndo anakudhamini kwa EMIRATES ID yake,

Nauli inategemea umebook ndege gani na msimu.upi, kama sasa.kuna punguzo la ramadhan kwa EMIRATES ni 380 USD return ticket

Sehem za kuish,

Dubai wanakaa kwenye Bed spaces, yaan mnachangia vitanda na kwa mwezi ni AED 600 sawa na laki 3 na 40 ya Tz,

Nakushauri chukua visa ya miez mitatu iwe rahisi kwako kupata kazi, usichukue ya mwezi mmoja itakusumbua,

Fanya hivi

Nauli 900,000
Visa 300,000
Room 700,000 kwa miez miwili angalau,
Chakula andaa 15000 per day

2,500,000 inakutosha kabisa
Jamii inataka watu kama nyie. Safi mkuu!
 
Mkuu Dukeson habari, je ungependa kushare nasi mrejesho wa hii post kwa faida ya wengine?
 
Hii story naipata wapi
Halafu mkuu kuna huyu member wa JF yeye alifuata mkondo huo huo unaotaka kufuata. Soma hii thread aliyoeleza jinsi alivyokwenda na masaibu aliyopata ili ufanye uamuzi wa busara. Jaribu ku-PM ni mtu member ambaye anaona yuko wazi sana atakakupa maarifa zaidi. Thread yake ni hii: Hatua nilizopitia mpaka kufika Ukraine, na bado niko njiani kwenda nchi ya ahadi Norway

Baadhi ya maelezo yake ni haya, lakini nenda kwenye thread yake niliyokuwekea link utaona kwa kirefu zaidi.
''Nikapita sehemu nikakuta kuna watu wanasema visa za Dubai, lilikuwa Tangazo, mwanaume nikawauliza wakasema visa ni laki 3 ya miezi mitatu, ila kwakuwa wewe hatukujui tutakupa ya wiki mbili, nikasema sawa, nikadhani Dubai ni kama Morogoro unaenda tu unafika unaanza kutafuta kazi, kumbe kuna hata muda unaoruhusiwa kukaa kwenye visa, sikuwa najua neno overstay wala nini, nikaenda Kigamboni nikauza shamba langu kwa milion 2.8 lilikiwa nimeshapataga value, nikapata visa 150 USD na hela ya ticket 400 USD Emirates lilikuwa msimu wa punguzo wa ramadhani, nikapanda mpaka Dubai , hapo sijui mtu yeyote uko naenda tu.

Nikafika nikapata hotel nikalala siku moja alafu nikaamua kusaka chumba cha kupanga, aisee kumbe hakuna chumba cha kupanga wana Bed spaces mnashare rooms, ni AED 500 Sawa na laki 3 ya Tanzania kwa mwezi, hela yangu ilikuwa ndogo sana nikalipa week mbili nkidhani kwamba nitapata kazi mapema nihame, week mbili zikaisha na visa ya week mbili inaisha hakuna kazi nilipata ilikuwa ni ni presha mno.

Agent aliyenikatia Visa akaanza kunipigia na vitisho juu akaanza kulaumu kwamba una overstay nimefungiwa visa mpya nazo apply.

Hapo tarehe ya ndege ya kurudi ishapita sina nauli ya kurudi Tanzania, nikafikiria nifany e nini, nikaanza kusaka kazi ndani ya overstay days, nikapata kazi moja ya mauzo kampuni ya Alhairay Printing services.

Nikawapa makaratasi yangu yote wakaenda kuapply work permit ikabounse maana nilikuwa kwenye overstay fines, wakasema hatuwezi kukuajili wewe uko kwenye overstay......'

Mzee mmoja wa Pakistan akasema nitakusaidia akanilipia nauli nirudi Tanzania ila nikamuomba kwamba naomba unilipie niende Rwanda maana Tanzania wale ma agent walisema wamefungua kesi kesi niwalipe fidia za kukosesha kazi zao kwa u overstay miez miwili na nusu.

Lakini suala ni kwamba airport lazima ulipe fine.

Kwa kila siku unayozidisha ni 100 AED Sawa na 60,000 ya Tanzania na hapo nishaoverstay karibia siku 80, na sina kitu ilibidi nilipe kama milioni 3 ya Tanzania,

Nikajitosa kwamba naenda hivo hivo, nikafika airport wakanizuia kwamba nilipe fine au niende ku surrender wanajifungu watu wanifunge miezi Mitatu kama sina faini dahhhhhhh
!''
 
Back
Top Bottom