Ndumi la kwili
Member
- Jul 11, 2019
- 5
- 0
Mimi ni kijana wa miaka 20 nilianza kujichua miaka 8 iliyo pita sikujua kwamba kuna mazara kwaiyo niliendelea na mchezo ule siku hangaika na wasichana paka sasa ndiyo naona mazara yake nguvu zimepotea nikiwa katika tendo la ndoa sekunde 30 tu nimeshafika kileleni paka naona aibu ebu nisaidieni ndugu yenu kuna uwezekano wa kurudi kwenye hali yangu ya kawaida ?