RITA acheni usumbufu

RITA acheni usumbufu

Kama ulipigiwa muhuli aina shidaaa..ayo majina yasi kuchanganye sana
Sio suala la sisi kuandika jina. Tulipeleka vyeti wakavihakiki wenyewe na kupiga mhuri. Iweje wajikanganye kwenye kuandika hayo majina waliyo hakiki wenyewe?
 
Sitasahau nilishaenda pale mara 16 ndani ya miezi 2 na bado sijafanikisha chochote. Ndipo nilipozungukia mlango wa nyuma nikapaata cheti ndani ya siku 3
 
Sitasahau nilishaenda pale mara 16 ndani ya miezi 2 na bado sijafanikisha chochote. Ndipo nilipozungukia mlango wa nyuma nikapaata cheti ndani ya siku 3
Hiyo rushwa ulimpa nani nami nikampe maana sasa nimechoka
 
Mm nilienda rita siku moja nikapata cheti cha kuzaliwa nakushauri ukifika pale uliza MZEE anaitwa ELIA NENDA OFISINI KAONGEE NAE ATAKUSAIDIA
 
Back
Top Bottom