Recent content by Sagungu 1914

  1. Sagungu 1914

    JamiiForums Tanzania GE2025 CCM wapitisha maprofesa 16 kugombea ubunge

    Bunge limepigwa plasta mdomoni,
  2. Sagungu 1914

    JamiiForums Tanzania GE2025 CCM wapitisha maprofesa 16 kugombea ubunge

    Sasa Huwa wanaongea nini zaidi ya kusifia pasiposifiwa ili kujihakikishia teuzi kipindi kama hiki Cha uchaguzi.
  3. Sagungu 1914

    JamiiForums Tanzania GE2025 CCM wapitisha maprofesa 16 kugombea ubunge

    Sijawahi kusikia profesa mbunge akitoa hoja ya kiprofesa,zaidi Huwa wako kimya tu hata pale mambo yanapo haribika,wanazidiwa hoja na Mbunge Musukuma.Warudi vyuoni wakafundishe au wajiajiri.
  4. Sagungu 1914

    JamiiForums Tanzania Mnaomshambulia Abbas Tarimba, anajua uchungu wa mwana kuliko nyie, alishawahi kupoteza watoto wawili kwa mpigo

    Afadhali wa kwake waliugua na akawauguza na walipotangulia mbele za haki akawazika.Maumivu yake hayalingani na mzazi wa mtoto aliyetekwa akiwa mzima wa afya na kupotezwa maxima au akaokotwa ameuawa Kwa kutobolewa macho.Yeye ashukuru Mungu watoto wake walikufa kifo Cha kawaida na makaburi Yao...
  5. Sagungu 1914

    JamiiForums Tanzania Bunge letu lina Maprofesa sasa Wakenya wanasemaje ni Bunge la KK? Waache dharau CV za maseneta wao tunazo!

    Tatizo tunapeleka watu Bungeni wakisha fika Kule hawafanyi tuliyo watuma,akili zao zote zinawaza kupata Tena ubunge Kwa awamu inayofuata Kwa hiyo Kwa hali hii,wanacho kifanya ni kuwa karibu na serikali ili mwisho wa siku waonekane walikuwa wema na hawakuisema vibaya.Tena Mimi naona wakati...
  6. Sagungu 1914

    JamiiForums Tanzania Maoni ya mahakama kabla ya hukumu

    Asante sana boss,ubarikiwe,yaani mpaka nashindwa kuelewa hakimu kahukumu hii kesi Kwa kumpa mpinzani wangu ushindi Kwa Sheria ipi,nimeumia sana nikiwa kama binadamu,sijui hayo makaburi na miti iliyomo ndani ya kiwanja itakuaje kisheria.
  7. Sagungu 1914

    JamiiForums Tanzania Maoni ya mahakama kabla ya hukumu

    Leo tarehe 26.2.2025 hukumu imetoka na hakimu kampa ushindi mujibu maombi,kinacho nisikitisha na kunishangaza ni Namna gani mpinzani alivyo pata huo ushindi kwani Toka kesi inaanza mpaka kusikilizwa Kwa kesi husika hakuwa na hoja za msingi Wala vielelezo vya msingi kumwezesha kupewa...
  8. Sagungu 1914

    JamiiForums Tanzania Usiposomewa Maoni ya Wazee wa Baraza kwenye Kesi za Ardhi, kesi nzima inakuwa batili

    Hawa wazee Sina hamu nao Kuna maoni wametoa mpaka nashindwa kuwaelewa kabisa,sijui wamepewa pesa
  9. Sagungu 1914

    JamiiForums Tanzania Maoni ya mahakama kabla ya hukumu

    Kesi ya ardhi boss
  10. Sagungu 1914

    JamiiForums Tanzania Maoni ya mahakama kabla ya hukumu

    Naomba kuuliza wataalamu wa Sheria,maoni yanayo tolewa mahakamani kuelekea kutolewa hukumu yenyewe ndio yanatoa hukumu itakavyo kuwa?Asante
  11. Sagungu 1914

    JamiiForums Tanzania KERO Waziri Mchengerwa, sisi walimu wa Wilaya ya Busega tunaomba msaada wako juu ya Mkurugenzi wa Wilaya

    Jambo lipo kisheria kwanini anapata kigugumizi kulitekeleza?
  12. Sagungu 1914

    JamiiForums Tanzania Miezi 7 since October 7 2023: Hizi ni Video za matukio ya kikatili yaliyofanywa na magaidi wa Hamas, Israel wana kila sababu kudeal nao

    Wanavuna ndugu zao walicho panda na naamini Kwa kipigo hiki hawatarudia tena kuichokoza Israel miaka 1000 ijayo maana history imeandikwa.
  13. Sagungu 1914

    JamiiForums Tanzania Miezi 7 since October 7 2023: Hizi ni Video za matukio ya kikatili yaliyofanywa na magaidi wa Hamas, Israel wana kila sababu kudeal nao

    Israel ana haki ya kuwafyeka magaidi wote na Nina Imani Kila gaidi wa hamasi atalambishwa mchanga,uzuri wa Israel ni kama kelele za chura hazimuzui ng'ombe kunywa maji,watapiga kelele weeee lakn mpaka lengo litimie,Kwa Sasa wamebananishwa sehemu Moja na hawana pa kutokea,watakufa kama kuku wa...
  14. Sagungu 1914

    JamiiForums Tanzania Usimamizi wa mirathi

    Nitafute nikusaidie
  15. Sagungu 1914

    JamiiForums Tanzania Nitajibu swali lolote linalohusu ujenzi kasoro neno bei gani. Technical tu

    Naomba kujua,ratio ya simenti inayo hitajika kwenye kupiga lipu Kuta za nje na ndani.
Back
Top Bottom