GE2025 CCM wapitisha maprofesa 16 kugombea ubunge

GE2025 CCM wapitisha maprofesa 16 kugombea ubunge

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025
Kama ulikua hujui kuwa CCM imepitisha MAPROFESA 16 kugombea ubunge wacha nikufahamishe;-
Muda mchache uliopita CCM imetoka kutangaza matokeo ya nafasi za ubunge,
Katika matangazo hayo watu wenye elimu ya uprofesa wapo 16,
Je unataka kujua ni akina nani hao na wanagombea jimbo gani,
Soma orodha hapa chini kama fuatavyo;-

1). Prof. Ester William Dungumaro (Jimbo la Korogwe Mjini)

2). Prof. George F. Kinyashi (Jimbo la Korogwe Vijijini)

3). Prof. Mangasini Atanas Katundu (Jimbo la Kaliua)

4). Prof. Norman Adamson Msigala (Jimbo la Makete)

5). Prof. Noah Makula Pauline (Jimbo la Magu)

6). Prof. Edwinus Chrisantus Lyaya (Jimbo la Magu)

7). Prof. Palamagamba Kabudi (Jimbo la Kilosa)

8). Prof. Sospeter Mwijarubi Muhongo (Jimbo la Musoma Vijijini)

9). Prof. Neema Penance Kumburu (Jimbo la Moshi Mjini)

10). Prof. Patrick A. Ndakidemi (Jimbo la Moshi Vijijini)

11). Prof. Pius Yanda (Jimbo la Buhigwe)

12). Prof. Joyce Lazaro Ndalichako (Jimbo la Kasulu Mjini)

13). Prof. Obadia Venance Nyongole (Jimbo la Mufindi Kaskazini)

14). Prof. Alexander Kitila Mkumbo (Jimbo la Ubungo)

15). Prof. Kokel Letia Melumbo (Jimbo la Ngorongoro)

16). Prof. Daniel Mrisho Pallangyo (Jimbo la Arumeru Mashariki)

Makala hii imeletwa kwenu na Dhulkad Madara kutoka Morogoro
Kuna maprof kadhaa hawapo kwenye list yako e.g. prof Ladislaus Mchome huko Same.
 
Huyo number 9 hata kiingereza tu hajui,sijui uprofesa aliupataje.
 
Kama ulikua hujui kuwa CCM imepitisha MAPROFESA 16 kugombea ubunge wacha nikufahamishe;-
Muda mchache uliopita CCM imetoka kutangaza matokeo ya nafasi za ubunge,
Katika matangazo hayo watu wenye elimu ya uprofesa wapo 16,
Je unataka kujua ni akina nani hao na wanagombea jimbo gani,
Soma orodha hapa chini kama fuatavyo;-

1). Prof. Ester William Dungumaro (Jimbo la Korogwe Mjini)

2). Prof. George F. Kinyashi (Jimbo la Korogwe Vijijini)

3). Prof. Mangasini Atanas Katundu (Jimbo la Kaliua)

4). Prof. Norman Adamson Msigala (Jimbo la Makete)

5). Prof. Noah Makula Pauline (Jimbo la Magu)

6). Prof. Edwinus Chrisantus Lyaya (Jimbo la Magu)

7). Prof. Palamagamba Kabudi (Jimbo la Kilosa)

8). Prof. Sospeter Mwijarubi Muhongo (Jimbo la Musoma Vijijini)

9). Prof. Neema Penance Kumburu (Jimbo la Moshi Mjini)

10). Prof. Patrick A. Ndakidemi (Jimbo la Moshi Vijijini)

11). Prof. Pius Yanda (Jimbo la Buhigwe)

12). Prof. Joyce Lazaro Ndalichako (Jimbo la Kasulu Mjini)

13). Prof. Obadia Venance Nyongole (Jimbo la Mufindi Kaskazini)

14). Prof. Alexander Kitila Mkumbo (Jimbo la Ubungo)

15). Prof. Kokel Letia Melumbo (Jimbo la Ngorongoro)

16). Prof. Daniel Mrisho Pallangyo (Jimbo la Arumeru Mashariki)

Makala hii imeletwa kwenu na Dhulkad Madara kutoka Morogoro
Wamepitishwa kwa uprofesa wao, ama waliomba wenyewe ?
 
Kama ulikua hujui kuwa CCM imepitisha MAPROFESA 16 kugombea ubunge wacha nikufahamishe;-
Muda mchache uliopita CCM imetoka kutangaza matokeo ya nafasi za ubunge,
Katika matangazo hayo watu wenye elimu ya uprofesa wapo 16,
Je unataka kujua ni akina nani hao na wanagombea jimbo gani,
Soma orodha hapa chini kama fuatavyo;-

1). Prof. Ester William Dungumaro (Jimbo la Korogwe Mjini)

2). Prof. George F. Kinyashi (Jimbo la Korogwe Vijijini)

3). Prof. Mangasini Atanas Katundu (Jimbo la Kaliua)

4). Prof. Norman Adamson Msigala (Jimbo la Makete)

5). Prof. Noah Makula Pauline (Jimbo la Magu)

6). Prof. Edwinus Chrisantus Lyaya (Jimbo la Magu)

7). Prof. Palamagamba Kabudi (Jimbo la Kilosa)

8). Prof. Sospeter Mwijarubi Muhongo (Jimbo la Musoma Vijijini)

9). Prof. Neema Penance Kumburu (Jimbo la Moshi Mjini)

10). Prof. Patrick A. Ndakidemi (Jimbo la Moshi Vijijini)

11). Prof. Pius Yanda (Jimbo la Buhigwe)

12). Prof. Joyce Lazaro Ndalichako (Jimbo la Kasulu Mjini)

13). Prof. Obadia Venance Nyongole (Jimbo la Mufindi Kaskazini)

14). Prof. Alexander Kitila Mkumbo (Jimbo la Ubungo)

15). Prof. Kokel Letia Melumbo (Jimbo la Ngorongoro)

16). Prof. Daniel Mrisho Pallangyo (Jimbo la Arumeru Mashariki)

Makala hii imeletwa kwenu na Dhulkad Madara kutoka Morogoro
Mwongeze na Eng. Professor Zacharia Mabubu Daniel Mganilwa (Aliyekuwa mkuu wa chuo cha NIT)

Kwa jimbo la URAMBO
 
GT
Baadhi ya Maprofesa waliopitishwa

1. Prof. Ester William Dungumaro (Jimbo la Korogwe Mjini)
2. Prof. George F. Kinyashi (Jimbo la Korogwe Vijijini)
3. Prof. Mangasini Atanas Katundu (Jimbo la Kaliua)
4. Prof. Norman Adamson Msigala (Jimbo la Makete)
5. Prof. Noah Makula Pauline (Jimbo la Magu)
6. Prof. Edwinus Chrisantus Lyaya (Jimbo la Magu)
7. Prof. Palamagamba Kabudi (Jimbo la Kilosa)
8. Prof. Sospeter Mwijarubi Muhongo (Jimbo la Musoma Vijijini)
9. Prof. Neema Penance Kumburu (Jimbo la Moshi Mjini)
10. Prof. Patrick A. Ndakidemi (Jimbo la Moshi Vijijini)
11. Prof. Pius Yanda (Jimbo la Buhigwe)
12. Prof. Joyce Lazaro Ndalichako (Jimbo la Kasulu Mjini)
13. Prof. Obadia Venance Nyongole (Jimbo la Mufindi Kaskazini)
14. Prof. Alexander Kitila Mkumbo (Jimbo la Ubungo)
15. Prof. Kokel Letia Melumbo (Jimbo la Ngorongoro)
16. Prof. Daniel Mrisho Pallangyo (Jimbo la Arumeru Mashariki)

Sijajua huko Vyoni wamemqacha nani.
Maustadhi mnakwama wapi kwenye uprofesa?
 
Kama ulikua hujui kuwa CCM imepitisha MAPROFESA 16 kugombea ubunge wacha nikufahamishe;-
Muda mchache uliopita CCM imetoka kutangaza matokeo ya nafasi za ubunge,
Katika matangazo hayo watu wenye elimu ya uprofesa wapo 16,
Je unataka kujua ni akina nani hao na wanagombea jimbo gani,
Soma orodha hapa chini kama fuatavyo;-

1). Prof. Ester William Dungumaro (Jimbo la Korogwe Mjini)

2). Prof. George F. Kinyashi (Jimbo la Korogwe Vijijini)

3). Prof. Mangasini Atanas Katundu (Jimbo la Kaliua)

4). Prof. Norman Adamson Msigala (Jimbo la Makete)

5). Prof. Noah Makula Pauline (Jimbo la Magu)

6). Prof. Edwinus Chrisantus Lyaya (Jimbo la Magu)

7). Prof. Palamagamba Kabudi (Jimbo la Kilosa)

8). Prof. Sospeter Mwijarubi Muhongo (Jimbo la Musoma Vijijini)

9). Prof. Neema Penance Kumburu (Jimbo la Moshi Mjini)

10). Prof. Patrick A. Ndakidemi (Jimbo la Moshi Vijijini)

11). Prof. Pius Yanda (Jimbo la Buhigwe)

12). Prof. Joyce Lazaro Ndalichako (Jimbo la Kasulu Mjini)

13). Prof. Obadia Venance Nyongole (Jimbo la Mufindi Kaskazini)

14). Prof. Alexander Kitila Mkumbo (Jimbo la Ubungo)

15). Prof. Kokel Letia Melumbo (Jimbo la Ngorongoro)

16). Prof. Daniel Mrisho Pallangyo (Jimbo la Arumeru Mashariki)

Makala hii imeletwa kwenu na Dhulkad Madara kutoka Morogoro
Wengi wamekuwa wachezaji kwa at least msimu mmoja. Bottom line: Uwepo wao Bungeni hauna tija—they’re just as corrupt and useless! Afadhali wangebaki vyuoni tu kufundisha the next generation of leaders.
 
Sijawahi kusikia profesa mbunge akitoa hoja ya kiprofesa,zaidi Huwa wako kimya tu hata pale mambo yanapo haribika,wanazidiwa hoja na Mbunge Musukuma.Warudi vyuoni wakafundishe au wajiajiri.
 
Sijawahi kusikia profesa mbunge akitoa hoja ya kiprofesa,zaidi Huwa wako kimya tu hata pale mambo yanapo haribika,wanazidiwa hoja na Mbunge Musukuma.Warudi vyuoni wakafundishe au wajiajiri.
Fuatilia michango ya professor Muhongo, utakubali usomi wake.
 
Kama ulikua hujui kuwa CCM imepitisha MAPROFESA 16 kugombea ubunge wacha nikufahamishe;-
Muda mchache uliopita CCM imetoka kutangaza matokeo ya nafasi za ubunge,
Katika matangazo hayo watu wenye elimu ya uprofesa wapo 16,
Je unataka kujua ni akina nani hao na wanagombea jimbo gani,
Soma orodha hapa chini kama fuatavyo;-

1). Prof. Ester William Dungumaro (Jimbo la Korogwe Mjini)

2). Prof. George F. Kinyashi (Jimbo la Korogwe Vijijini)

3). Prof. Mangasini Atanas Katundu (Jimbo la Kaliua)

4). Prof. Norman Adamson Msigala (Jimbo la Makete)

5). Prof. Noah Makula Pauline (Jimbo la Magu)

6). Prof. Edwinus Chrisantus Lyaya (Jimbo la Magu)

7). Prof. Palamagamba Kabudi (Jimbo la Kilosa)

8). Prof. Sospeter Mwijarubi Muhongo (Jimbo la Musoma Vijijini)

9). Prof. Neema Penance Kumburu (Jimbo la Moshi Mjini)

10). Prof. Patrick A. Ndakidemi (Jimbo la Moshi Vijijini)

11). Prof. Pius Yanda (Jimbo la Buhigwe)

12). Prof. Joyce Lazaro Ndalichako (Jimbo la Kasulu Mjini)

13). Prof. Obadia Venance Nyongole (Jimbo la Mufindi Kaskazini)

14). Prof. Alexander Kitila Mkumbo (Jimbo la Ubungo)

15). Prof. Kokel Letia Melumbo (Jimbo la Ngorongoro)

16). Prof. Daniel Mrisho Pallangyo (Jimbo la Arumeru Mashariki)

Makala hii imeletwa kwenu na Dhulkad Madara kutoka Morogoro
Hofu yangu wasije wakawa wanatokea majalalani mana nchi sio Leo hao kupelekwa bungeni
 
Kama ulikua hujui kuwa CCM imepitisha MAPROFESA 16 kugombea ubunge wacha nikufahamishe;-
Muda mchache uliopita CCM imetoka kutangaza matokeo ya nafasi za ubunge,
Katika matangazo hayo watu wenye elimu ya uprofesa wapo 16,
Je unataka kujua ni akina nani hao na wanagombea jimbo gani,
Soma orodha hapa chini kama fuatavyo;-

1). Prof. Ester William Dungumaro (Jimbo la Korogwe Mjini)

2). Prof. George F. Kinyashi (Jimbo la Korogwe Vijijini)

3). Prof. Mangasini Atanas Katundu (Jimbo la Kaliua)

4). Prof. Norman Adamson Msigala (Jimbo la Makete)

5). Prof. Noah Makula Pauline (Jimbo la Magu)

6). Prof. Edwinus Chrisantus Lyaya (Jimbo la Magu)

7). Prof. Palamagamba Kabudi (Jimbo la Kilosa)

8). Prof. Sospeter Mwijarubi Muhongo (Jimbo la Musoma Vijijini)

9). Prof. Neema Penance Kumburu (Jimbo la Moshi Mjini)

10). Prof. Patrick A. Ndakidemi (Jimbo la Moshi Vijijini)

11). Prof. Pius Yanda (Jimbo la Buhigwe)

12). Prof. Joyce Lazaro Ndalichako (Jimbo la Kasulu Mjini)

13). Prof. Obadia Venance Nyongole (Jimbo la Mufindi Kaskazini)

14). Prof. Alexander Kitila Mkumbo (Jimbo la Ubungo)

15). Prof. Kokel Letia Melumbo (Jimbo la Ngorongoro)

16). Prof. Daniel Mrisho Pallangyo (Jimbo la Arumeru Mashariki)

Makala hii imeletwa kwenu na Dhulkad Madara kutoka Morogoro
Wajumbe majimboni wapo wanawasubiri kwa hamu. I hope maprofesa wameshafanya utafiti kuhusu wajumbe!
 
Back
Top Bottom