Tumefikishwa mbali sana na tuliowaamini, tukawapa dhamana ya kusimamia nchi hii wakiwa ni viongozi wetu. Mara nyingi huwa tunasoma na kuelezea sifa za kiongozi bora, na wengi wetu ni walimu--- Cha kusikitisha tunaoongozwa na hawa viongozi ndo tumepoteza radha ya kuleta mabadiliko hali...
Nimekuwa nikipitia hatua mbalimbali za maisha, nilihitimu kidato cha sita mchepuo wa sayansi (PCB) miaka kadhaa iliyopita, sikubahatika kuendelea na ngazi ya shahada ila nikajiunga na masomo ya stashahada ya afya ya mifugo.
Nilihitimu pia, kwa sasa naendelea na masomo ya shahada katika chuo...
Keshachakachua omolo wake, ishakuwa ya kichina aisee, amepunguza kama sio kuondoa uwezo wake wa kufanya kazi. Afadhali ungeacha asili yake ukatafuta namna ya kuwa mbunifu. Tayari kidonda hicho,mmh! Uvimbe unasema imeongezeka! Ndo maana usiku inajaa, subiri maumivu yake baada ya ganzi ya pilipili...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.