Nimekuwa nikipitia hatua mbalimbali za maisha, nilihitimu kidato cha sita mchepuo wa sayansi (PCB) miaka kadhaa iliyopita, sikubahatika kuendelea na ngazi ya shahada ila nikajiunga na masomo ya stashahada ya afya ya mifugo.
Nilihitimu pia, kwa sasa naendelea na masomo ya shahada katika chuo fulani hapa Tz. Ila kila kukicha nafsi yangu inaumia na kuhitaji sana kutumika katika fani ya udaktari wa binadamu.
Je kuna uwezekano wa kuendelea na career ya udaktari japo umri wangu nao umesonga?
Matokeo ya form six hayaridhishi,
Je naweza kutumia ya stashahada kujoin chanel hiyo?
Naomba ushauri wenu wandugu.
Nilihitimu pia, kwa sasa naendelea na masomo ya shahada katika chuo fulani hapa Tz. Ila kila kukicha nafsi yangu inaumia na kuhitaji sana kutumika katika fani ya udaktari wa binadamu.
Je kuna uwezekano wa kuendelea na career ya udaktari japo umri wangu nao umesonga?
Matokeo ya form six hayaridhishi,
Je naweza kutumia ya stashahada kujoin chanel hiyo?
Naomba ushauri wenu wandugu.