Recent content by safarieladi

  1. S

    Prezzo aitwa Kibamia na Marioooo baada ya Kumuacha Mpenzi wake

    Itakuwa prezzo aliitwa kutumbuiza basi maskini wa watu akajiendea zake na gita lake, lahaula la kwata , kufika anakuta anatakiwa kutumbuiza uwanja wa taifa wakati alizania ni sebuleni!
  2. S

    Aliyekuwa muigizaji wa Isindigo maarufu kwa jina la Letti Matabhane Afariki

    Nakumbuka alivyokuwa kwenye familia ya matabane, mcheshi halafu naongea haraka sana, nilikuwa namkubali sana. Rip lettie
  3. S

    TFF na Jeuri ya kuivimbia serikali

    Mi swali najiuliza kwa tenga na tff yake hawajibu hoja za serikali kuwa mabadiliko ya katiba hayakufuata taratibu na badala yake wanakimbilia kusema tutafungiwa na FIFA, wangekuwa ni viongozi wenye malengo mazuri na mpira wa tz basi wangeitisha kikao na kubadilisha katiba kama serikali...
  4. S

    Zitto ndani ya 835KJ

    Osokoni nadhani tulikuwa wakati mmoja mgambo? Mi nilikuwa pia b-coy , tulikuwa na afande mchele, na afande moyo,uko wapi mkuu? Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
  5. S

    Zitto ndani ya 835KJ

    Ni kambi ya jeshi ambayo kwa wakati huo wa 92/93 alikuwepo pia joseph kabila ambaye kwa sasa ni raisi wa congo DRC Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
  6. S

    Zitto ndani ya 835KJ

    835kj kweli ni mgambo, nilikuwa pale kwa mwaka mmoja 92/93 , alikuweko mkuu wa kikosi akiitwa afande chale na msaidizi akiwa kipangula, those days zimeniachia a very good memory ya adventures Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
  7. S

    Sakata la Gesi: Tuiangalie kusini kwa jicho la tatu, tuache siasa!

    Mi nadhani watu wanaweka nguvu nyingi kujadiliana kuwa gesi ibaki mtwara tu au itoke mtwara! Hili nadhani kuna watu wanalifanya makusudi ili kuwapoteza watu hoja ya msingi kuwa Mtwara itafaidikaje na hiyo gesi? Hii hoja ni ya msingi sana kujadiliwa kwani tumeona maeneo ya madini jinsi gani...
  8. S

    Vurugu za Mbagala ni zaidi ya mnachokifahamu - Oh Tanzania!

    Well said, nothing to add Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
  9. S

    CNN: Kenya inaongoza kwa matumizi ya ICT, Tanzania kwa uchawi!

    Wala sio jambo la kushangaa kwani ukisafiri kwenda baadhi ya nchi za afrika kama zimbabwe na south africa, utakuta waganga wa huko matangazo yao wameandika kuwa mganga maarufu anatoka tz! So ni kweli tunatisha Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
  10. S

    Unawakumbuka ma-headmaster maarufu in 80s to 90s?

    mnamkumbuka mwalimu mkoba wa mazengo secondary? Alikuwa poa sana , alikuwa anapenda sana michezo, chakula shuleni kilikuwa kizuri na alikuwa hakabani na wanafunzi ila alisisitiza sana watu wajitahidi kusoma. Bahati mbaya yeye na mke wake wameshafariki Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
Back
Top Bottom