CNN: Kenya inaongoza kwa matumizi ya ICT, Tanzania kwa uchawi!

inasikitisha sana hata baathi ya viongozi wa serikali ni waumini wazuri wa haya mambo ya uchawi.yatupasa kama jamii kujiuliza haya mambo yana faida gani kwenye maisha yetu .ikiwezekana yapepigwe marufuku kwenye katiba ijayo
 
Njoni kwa Yesu hutasikia wachawi majini mikosi nuksi chuma ulete balaa 'wanadamu tumepewa jina moja tu litupasalo kuokolewa kwalo nalo ni jina lipitalo majina yote JINA LA YESU'

Jina ambalo ukilitaja mapepo magonjwa kufeli na kila aina ya chukizo linatii na kutoka MPOKEE YESU LEO AWE BWANA NA MWOKOZI WA MAISHA YAKO AKUBADILISHE UWE KIUMBE KIPYA YA KALE YAMEPITA TAZAMA YAMEKUWA MAPYA!
 
Ni kwel kabisa 100% hebu fikiri babu wa loliondo katangaza ameoteshwa viongoz wote wabunge,mawazi,wakurugenz n.k wameenda kunywa kikombe nchi nzma wakat wanajua kabisa mungu hawez kumuotesha mtu mwenye govinda...pia juz wazir maguful wakat anafungua barabara bagamoyo amesema yeye haogopwi kurogwa eti daktar huyo nchi ina vioja sn hii...mifano ipo ming enz za spika 6 mbunge alinaswa na kamera anamwaga unga bungen 2po ktk nch ya kusadikika.
 
Vikongwe na Albino wanauwawa kwa Imani za kishirikina! Wanasiasa na wafanyabiashara wanakwenda kwa sangoma ili wafanikiwe malengo yao.Hata marehemu Sheikh Yahaya alisema atampa ulinzi usionekana Dhaifu.Na mpaka leo ikulu haijakanusha ulinzi huo wa kimazingara.

Bila kusahau kuwa viongozi karibu wote wa serikali walienda Loliondo kwa babu mchawi wakanywa kikokmbe !!
Hii ilishawishi wananchi wengi wasio na imani thabiti ya Mungu kwenda huko na hatimaye wamepoteza fedha na maisha yao bure tu !!
 
Ukweli ni kuwa Wakenya kwa ICT wako juu ila si kweli kuwa Watanzania tunapenda ushirikana kwani Wanigeria ndio washirikina mno...barani Afrika!
 
Ukweli unauma eeeeeeeeeeeeeeh! Uchawi kila mahali TZ. Hutaamini miaka 40 ya uhuru na kujitegemea bado wapo wagonjwa wa malaria wanafia vyumbani mwa waganga wa kienyeji.

Duh halaf nimeskia kuna mganga mmoja baada ya kumganga mhe. mmoja, amekirimiwa nafasi nyeti katika baraza la halmashauri ya wilaya moja mkoani pwani......................naye ala viyoyozi ofcn kwasana...............teh teh teh......
 
la loliondo halikuwa ushirikiana bali imani ya mungu kama vile watu wsanavokwenda kwa akina mama lwakatare na wengine wengi waliofungua makanisa hapa tz
Sidhani kama ni sahihi kufananisha dawa ya Babu na huduma zinazotolewa na Mchungaji Lwakatare,ni vitu viwili tofauti kabisa. Kwangu mimi ni rahisi kutofautisha dawa ya babu na Mch Rwakatare kuliko ninavyoweza kutofautisha na Babu na waganga wa jadi...Babu anaangukia kweny kundi la watoa mitishamba
 
Wala sio jambo la kushangaa kwani ukisafiri kwenda baadhi ya nchi za afrika kama zimbabwe na south africa, utakuta waganga wa huko matangazo yao wameandika kuwa mganga maarufu anatoka tz! So ni kweli tunatisha

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
 
bado kuna dawa ya KUFUTA KESI,SIKU HIZI KUNA WAGANGA WANATOA DAWA ZA KUJIUNGA NA FREEMASON,KWA BAHAT MBAYA NATUMIA MOBILE DEVICE NINGEWEKA PICHA HAPA
Mojo
Bajabiri .

mganga!.jpg
 
MGANGA%2BWA%2BJADI%2BMFAUME%2BALLY%2BAKIWA%2BNA%2BPAKA%2BPIX%2BNO%2B3.JPG


MGANGA WA JADI (TIBA ZA ASILI) KUTOKA MKOA WA TABORA, MFAUME ALLY (28) AKIWA NA PAKA ALIYEKUFA BAADA YA KUDAIWA KUSHINDWA KUTEKELEZA JARIBIO LA NGUVU ZA GIZA KATIKA NYUMBA YA MKAZI WA MTAA WA MIEMBENI KATA YA CHAMWINO MANISPAA YA MOROGORO AMINA ALLY (55)KWA KUANGUKA KUTOKA KWENYE PAA LA NYUMBA HIYO NA KUDONDOKA CHINI KABLA YA KUMKUTA UMAUTI PAKA HUYO MACHI 30 2011
 
669486633.jpg


Fatma Kachingo (aliyeshikilia fuvu) akiwa chini ya ulinzi wa askari Polisi mkoani Morogogo


Fatuma Kachingo (42) ambaye anadaiwa kuwa ni mganga wa jadi katika kijiji cha Wami Dakawa wilaya ya Mvomero mkoani Morogoro, anayedaiwa kukutwa na fuvu pamoja na ngozi ya binadamu, amehukumiwa kwenda jela miaka 10 kufuatia kukiri kosa la kukutwa na viungo vya binadamu kinyume cha sheria.​
 
Teh! teh! teh! ... waganga wa kuongeza hipsi! ... kweli tumekuwa Taifa gonjwa kabisa​

Dr+Mkombozi.jpg
 
Ni ukweli mtupu hata viongozi wetu ndo usiseme , kama kiongoziwetu wa nchi kuna kiti chakukalia anazunguka nacho Tanzania nzima kila mkutano au hafla Kama sio chakichawi nichanini?
 
Back
Top Bottom