mwananthropolojia
JF-Expert Member
- Oct 6, 2012
- 956
- 658
Suluhisho langu ni kwamba wziri muhusika awaandikie baruaa fifa awaambie kwamba tff kama chombo kilicho ndani ya sjmt basi inatakiwa kufuata katiba ya nchi kama vyama vingine vyovyote ingawa pia inatakiwa kufuata kanuni za shirikisho.
Kwakuwa tff ilikiuka katiba na kufanya marekebisho ya katiba bila kufuata utaratibu basi tff uongozi uliopo madarakani umekosea na kwa mujibu wa sheria za nchi viongozi hawa wanashtakiwa kwenye mahakama zetu za kiraia. Na hii iwe funzo kwa viongozi wengine watakaofuata.
Kwa mantikihiyo bas serikali kama serikali inatoa agio la uchaguzi kufanywa kwa kutumia katiba ya zamani, na hapa hata kama nyie ndo wafadhili lkn ikumbukwe kwamba annual contribution ambayo tff wanalipa inatokana na kodi za wananchi hivyo lazima serikali iingilie kati. Na fifa wambiwe wazi hamuwez mkatengeneza nchi nyingine ndani ya taifa huru kupitia michezo mnayoiratibu.
umesema kweli kabsa lazima wafuate katiba ya nchi hawako sayar nyingine ambako wanaweza kujitungia sheria ambazo zinapingana na sheria za nchi
hawa nao ni kati ya ya mafisadi katika nchi hii! kwani inashangaza sana hawajawahi kutoa ripoti ya mapato na matumiz toka wameingia, na wanakusanya viingilio vya watu ambao wanatozwa vat na vilabu vinalalmika mpaka kufikia timu zingine kutaka kususia uwanja mpya maana makato ni makubwa mpaka kufikia serikali kuingilia ila wenyewe walikaa kimya kama hamna tatizo vile.
halaf sielew kabisa wanaowasifia kwamba wamekuza mpira wakat toka wameingia kwenye uongoz, tanzania kwenye rank za fifa imekua ikishuka tu saiz ni ya 127 hata majiran zetu wakenya,waganda wametupita
pia toka wameingia hatujaweza kuqualify hata mara moja kwenda mataifa ya afrika angalia wakenya,ethiopia,sudan zote zimeenda mataifa ya afrika
na hiyo hiyo programu yao ya tsa haijafanikiwa kuzalisha kijana hata moja tunayeweza kumtegemea katika timu ya taifa au akaenda kucheza nje ya nchi,wote unaowaona wanatamba ni raw football players hawajapikwa na programu ile atleast kipingu alitoa wachezaji katika kizaz cha akina kaseja