Recent content by safaa07

  1. S

    Wabongo wa London kweli mmechoka

    Na pengine ata si ulaya iyo mbona tunafanya maharusi kwenye maholi makubwa tu
  2. S

    Wabongo wa London kweli mmechoka

    Mnanikata mbavu nyie hahaha, mlitaka akatumbuize kwenye ukumbi wanaofikia wakina beyonce na shakira sio, subutu
  3. S

    English learning thread

    I have never seen this learning thread before its really interesting, i hope to emprove my english through this thread, many thanks to anyone who started this thread, great job
  4. S

    Maalim Seif Sharrif Hamad kumbe naye English yake ni shiiiiiida!

    :D:D:D kiharusi eenh:D:D:D
  5. S

    Ally Kessy awashukia Zanzibar, Awataka Wabunge wa Zanzibar watoke nje kwa mambo yasiyo ya Muungano

    Safi sana kessy wape asa vidonge vyao, wajinga ndo waliwao kinachowapa kuungangania muungano nkitu gani
  6. S

    Haya ndio Mapinduzi ya Zanzibar, yamerikodiwa live na waitaliano 1964

    Weye ni ktk wale majuha mnaodanganywa kuukataa ukweli, lete ushahidi kuhs ayo usemayo, aya mambo ya mauwaji ya waarabu sisi tulishayasikia zamani ktk kwa mababu zetu na ukweli ulifichwa na ukageuzwa na mpaka history maskuli hausomeshwi ukweli, mnaodanganyika ni mbumbumbu kama ivo nyie, biashara...
  7. S

    Pemba: Migomo Imeanza Kushamiri CUF dhidi ya CCM

    Yaani apa kila topic utaona wanajadiliwa wapemba au wazanzibari wapemba wazanzibari wapemba wazanzibari, ivi nyie wabongo mnajadiliwa na nani eti ee? Au nyie muko perfect? Huwa mnapenda sana kujadili wazanzibari, ebu waacheni waznz tafuteni yenu sasa mjadili waacheni wapemba wafanye wanavyotaka...
  8. S

    Al-Shabaab wamuua Mtanzania Issa Jemes Mwesiga, kwa kumshtukia ni shushushu

    Musisingizie wazanzibari kwa ilo jina uyo ni mbongo
  9. S

    Pemba: Migomo Imeanza Kushamiri CUF dhidi ya CCM

    Uongo na uzushi mtupu, we mtuma mada kama huna kazi katafute jembe ukalime acha kuzuwa
  10. S

    Trilioni 1. 05 (Tshs) za MCC kwa Tanzania ilikuwa ndoto ya mchana

    Wabongo ukataeni muungano hauna faida kwenu wala kwetu wanaofaidika ni viongozi tu,sisi wazanzibari hatuutaki tumechoka kutawaliwa, lkn sisi hatuna mdomo ukitaja tu habari ya kukataa muungano unakamatwa lkn nyinyi mnao uwezo uwezo wa kuukataa na mukafanikiwa
  11. S

    Maalim amewasaliti wana mapinduzi

    Kutokana na habari nliyosoma kwenye website ya zanzibar yetu ni kuwa viongozi wote wa znz wakiwemo na wastaafu kisheria huwa wanapewa nyumba na serikali huko dar wakija za kukaa, hilo ni jukumu la serikali, sasa maalim seif mpaka hii leo yeye hajapewa nyumba ndio maana akija huko hufikia hoteli...
  12. S

    Kwanini wana-CCM wa Zanzibar sio mafisadi kama wana-CCM wa bara?

    Especially kwetu pemba is the most peacefull island in tz, sisi kule tunatembea na handbags zetu na simu tunaongea kwa raha zetu hakuna habari ya kuporwa kama vile bara, uko bongo mi nshawahi kuporwa mara mbili
  13. S

    KURA ZA UCHAGUZI ZANZIBAR MWAKA JANA NA MWAKA HUU

    Ati kula munanikata mbavu :D:D,
  14. S

    Uchaguzi Zanzibar: Dr. Ali Mohammed Shein atangazwa Rais wa Zanzibar

    Ni kweli ukweli hauwezi kuwa uongo ata sku moja, na ukweli ni kuwa maalim alishinda ccm wakaamuwa kuufuta uchaguzi ili wapate wajipe ushindi wenyewao, huo ndo ukweli ukiutaka usiutake, mnajitahidi kuhalalisha haramu lkn i say haramu maisha itakuwa haramu tu
  15. S

    Mambo muhimu kuhusu uchaguzi wa Zanzibar

    Yaani awa mwisho, kura wamepiga wenyewe, mawakala wao wenyewe, walinzi wao wenyewe, walohesabu kura wao wenyewe, kila kitu wamefanya wao wenyewe machizi kweli kupoteza izo pesa tu kisiwa chenyewe maskini
Back
Top Bottom