najua humu tumeachwa watabe na wana ICT wamehamia mashariki ya mbali ambako wengne ni ngum kufika ila kipoint changu ni kwamba hata sisi huku seblen tuendelee kujadili tu na haya mambo ya pd na TG sio kwamba ni madawa ya kulevya au bangi ila kutokana kua tunagusa interest za watu ndo maana...
Ndugu mdau na mtumiaji wa TUNNELGUGU ninayofururaha kukwambia kua kuanzia sasa vocha za tunnelguru za UNLIMMITED PLAN zitauzwa kwa shiling 7000/= kwa mwezi.na kama mtu akinunua kuanzia mbili atanunua kwa shiling 6500/= tu.bei hii iko stable.na ni kwa wateja wa tanzania pekeee.
niwakaribishe...
wakuu mi ni mjasiliamali nilio na miti 1000 katika wilaya bukoba vijini sasa nahtaji ushauri jinsi ya kuweza kukopa benki kwa kutumia miti kama dhamana.miti hiyo ina umri wa miaka 10 sasa na ni aina ya pine
FRIDGE INUZWA KAMA UNAVYOIONA KATIKA PICHA...IPO MWANZA MAENEO YA BUGANDO BEI 270000/= UKITAKA NICHEKI 0688148836 .AKIPATIKANA MTEJA POST HII ITAFUTWA ....
AINA YA WESPOINT
Ndugu wadau mimi niko mwanza wilaya ya nyamagana nina kama laki 8 nataka nianzishe miradi ya chipsi, sasa naomaba mnipe ushauri kwanza mimi nina wazo kua katika hizo laki nane nifungue vijiwe vinne ambapo kila kijiwe nimekipangia laki moja kukianzisha.
Naombeni ushauri wakuu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.