kuanzia leo sa 1 asubuh tunnelguru HTTP imeanza kuonesha dalili za sakatulmaut sasa hapa tujipange mazeee
kuanzia leo sa 1 asubuh tunnelguru HTTP imeanza kuonesha dalili za sakatulmaut sasa hapa tujipange mazeee
Hebu achen kuandika nyuz kwa ajili ya kukimbiza wateja wa watu haya mambo mnavyofanya muwe mnaangalia kwa umakini
enjoy++
we ongea na mareseller sio alye weka hii post hapo juuMkuu heri ya mwaka sasa mimi nilikuwa naomba kusaidiwa nifanyeje kwa sababu nilikuwa nataka usajili kwenye hiyo programme ya tunnel guru nawewe unasema tena imekuwa mjanga Samahani Mkuu msaada