Recent content by Sadaraki

  1. Sadaraki

    Watanzania tutajifunza kwa makosa hadi lini? Hivi TRC hawa wanaoshindwa vitu vidogo hivi wataweza ku-run SGR yetu effectively & efficiently?

    Akili hivi umechomea mahindi.? Unadhani Magu akipambana hata ije treni ya umeme nchi nzima kwa usimamizi mbovu si itakufa akishaondoka na atakaye ua ni nyie hao hao mnaosema ccm oye? Sent using Jamii Forums mobile app
  2. Sadaraki

    Nauza Gari yangu mpya IST

    Ngoja waje
  3. Sadaraki

    Mnaowapiga vipara wagoni mnahalalisha wake zenu waliwe jicho

    Fafanua kidogo hilo mkuu kwamba swala la mwanamke kushindwa kusukuma wakati wa kujifungua haihusiani na kuzibuliwa mtaro?
  4. Sadaraki

    Mnaowapiga vipara wagoni mnahalalisha wake zenu waliwe jicho

    Mh hii kazi kweli kweli sawa mkuu kila la kheri
  5. Sadaraki

    Mnaowapiga vipara wagoni mnahalalisha wake zenu waliwe jicho

    Kwanini wewe umkubalie mtu kama tayari una wa kwako?
  6. Sadaraki

    Rais Magufuli aivunja bodi ya wadhamini ya TEMESA

    Nawahi city ya mbele
Back
Top Bottom