tongwe mgambo
Member
- Jul 3, 2018
- 30
- 39
Utafka bila shda yoyote ukitoka mwanza pumzika kahama baada ya kutoka kahama kapumzike manyoni singida baada ya hapo dodoma mpaka Moro chakuzingatia speed na kukaa katikt ya barabara kaa pembeniWakuu habari,nauliza ili nipewe mwanga hapa,naitaji kusafiri kutoka mwanza kwenda morogoro kwa pikipiki sanlg 125 cc,je wataalamu wanisaidie hapa nifanyeje ili nifike vzr na hii pikipiki? Ni mpya ina miezi miwili,
Naombeni mchanganuo nifanye lipi na lipi ili niweze kufika kwa usafiri huu