Recent content by Sacrifice

  1. S

    Je, kuna dawa za asili za kuongeza kinga mwilini ?

    Ukosefu wa kinga mwilini jamani katika tiba asili, ni dawa gani zinauwezo mkubwa wa kupandisha kinga iliyo toweka katika mwili wa binadamu? Natanguliza heshima kwenu.
  2. S

    Natamani kuwa kibarua

    Heshima kwenu wakuu, Kwa wale mliojaliwa kuwa na biashara/capital na mnahitaji mtu/agent wa biashara yako mimi natafuta mtu mwenye shida ya msaidizi nimfanyie kazi. Nipo tayari hata tukaandkshane mbele ya sheria kama unawasiwasi na mimi, nimzoefu wa biashara za aina nyingi. Uzuri wake Mungu...
  3. S

    Nape mbona unawadanganya wana ccm?

    Nape kahamia UKAWA juzi
  4. S

    Mashine ya Kuprint Tshirts (screen printing)

    Tusubri wadau waje coz hata mi inanihusu
  5. S

    Natafuta mashine ya kupukuchua mahindi

    Pawatila ndo inaweza kufanya kazi hyo ila lbda huenda kun am a shine zngine.
  6. S

    Remedy for youth unemployment

    wooow.......!gd
  7. S

    Dawa ya nguvu za kiume hadharani bila malipo!

    ahsate kwa elimu nzuri..
  8. S

    Vyeo na Ngazi ya Elimu Kwa Masomo ya Sheria

    Hadi sasa jamaa hajapata majibu kutoka kwa wadau, watu wamehama mada na kuanza majigambo ya vyuo na course. Uje kwa kazi ilokuleta, unaenda mjini kusoma unajiingiza na kuuza chips...are you normal? Mi cjui ila nilkuwa nawakumbushen tumsaidie mwenzetu.
  9. S

    Madini ni baraka au laana

    Ukikua utajua, panuka ubongo...
Back
Top Bottom