manking
JF-Expert Member
- Feb 8, 2014
- 1,306
- 316
Wakuu habari,
Naombeni msaada wa kupata mashine ya kupukuchua mahindi kuna aina mbili nimeziona watu wanatumia.
1. Zipo zinazotumia engine ya petrol.
(2) Pia kunazile zinazotumia engine za diesel.
Nahitaji kujua bei zake na zinapatikana wapi hapa Tanzania.
Natanguliza shukrani kwa mwenye kufahamu.
Naombeni msaada wa kupata mashine ya kupukuchua mahindi kuna aina mbili nimeziona watu wanatumia.
1. Zipo zinazotumia engine ya petrol.
(2) Pia kunazile zinazotumia engine za diesel.
Nahitaji kujua bei zake na zinapatikana wapi hapa Tanzania.
Natanguliza shukrani kwa mwenye kufahamu.