Nitafute mimi nipate kukutibia upate kupona.Ukosefu wa kinga mwilini jamani katika tiba asili, ni dawa gani zinauwezo mkubwa wa kupandisha kinga iliyo toweka katika mwili wa binadamu?
Natanguliza heshima kwenu.
Nitafute mimi nipate kukutibia upate kupona.
Ukiwa na Shida yoyote ile
Usipo pona kwa Dawa za Hospitali nitafute mimi nipate kukutibia upate kupona ukihitaji matibabu yangu
Unaweza kunitafuta kwa Mawasiliano Herbalist Dr. MziziMkavu Email barua ya pepe.fewgoodman@hotmail.com What's App +905344508169 Au Ni add Kwa Facebook tumia jina hili mzizimkavu. Au boonyeza hapa.Mzizi Mkavu
Kwani kuna ugumu wa mtu kumtibia upungufu wa kinga mwilini aka (Ukimwi)?Utamtibia UPUNGUFU WA KINGA MWILINI?!!!!
DR,be serious!!!
Mlonge haiongezi Kinga Mwilini.Mlonge ina Asidi, asidi yoyote ile haiwezi kuongeza Kinga ya Mwili. Kuna dawa za kuongeza kinga ya mwili lakini sio Mlonge.Hii post inaonyesha jamaa unaogopa kufa kupata ukimwi sio kufa vitu vingi sana vinaongeza kinga ya mwili ila Mlonge ndio baba lao otherwise maintain good diet utakua fresh.
According to you boss..Mlonge haiongezi Kinga Mwilini.Mlonge ina Asidi, asidi yoyote ile haiwezi kuongeza Kinga ya Mwili. Kuna dawa za kuongeza kinga ya mwili lakini sio Mlonge.
Wauonje waone, hauliki. Wajisalimishe tu kwako.Mlonge haiongezi Kinga Mwilini.Mlonge ina Asidi, asidi yoyote ile haiwezi kuongeza Kinga ya Mwili. Kuna dawa za kuongeza kinga ya mwili lakini sio Mlonge.
Wasiliana na hawa. Nilipata namba zao kwenye miaka ya 2010/2011, walikuwa Sumbawanga, 0762977889 na 0758119000. Wamewasaidia wengi.Ukosefu wa kinga mwilini jamani katika tiba asili, ni dawa gani zinauwezo mkubwa wa kupandisha kinga iliyo toweka katika mwili wa binadamu?
Natanguliza heshima kwenu.
Kama una dawa ya kuponyesha ugonjwa wa ukimwi, mbona huitangazi katika vyombo husika ?Nitafute mimi nipate kukutibia upate kupona.
Ukiwa na Shida yoyote ile
Usipo pona kwa Dawa za Hospitali nitafute mimi nipate kukutibia upate kupona ukihitaji matibabu yangu
Unaweza kunitafuta kwa Mawasiliano Herbalist Dr. MziziMkavu Email barua ya pepe.fewgoodman@hotmail.com What's App +905344508169 Au Ni add Kwa Facebook tumia jina hili mzizimkavu. Au boonyeza hapa.Mzizi Mkavu