Umeleta hoja ya msingi sana kwa maana ni wachache sana kati yetu wanaoliangalia hili swala kwa uzito wake.
Ukitoka Dar es Salaam kwa barabara kuelekea Arusha, Mwanza, Kagera, Mbeya, Mtwara, Songea nk unakutana na magunia ya mkaa yanayouzwa kandoni mwa barabara kila sehemu. Hiyo ni mbali na...