Most muscular dog in the world....!!!!

Most muscular dog in the world....!!!!

Horseshoe Arch, Umenichekesha,

Kwanu Bado huko Iringa wanamtafuna huyu kiumbe wa ulinzi na mkaguzi wa viwanja vya ndege ??????
 
Last edited by a moderator:
mgeni10 hii kitu ni mali kuliko hata hizi sembe wanazokimbila watu,check mnyama alivyochanika misuli,ukipata supu na nyama ya shingo hata kama ulikuwa na hitu tu maradhi nyemelezi kwishney...
 
Last edited by a moderator:
madame B,unamaanisha HALI YA HEWA TATA atakayokutana nayo KWAPANI ndio itakayomfanya azimie?au maguvu yako?

Hahahaa we Mc Tilly Chizenga, huku hakuna hali tata ya hewa huku atakutana na akina Nivea, Midnight Fantasty na akina Victoria Secret....miguvu yangu ndio itamfanya apoteze uelekeo.
 
Last edited by a moderator:
Sijui ni sehemu gani tunaweza kuwapata huku kwetu Afrika maana hata huyu na dalmatian nao wanaonekana ni mkubwa!
dg.jpg
 
Back
Top Bottom