Recent content by Rushamvu

  1. Rushamvu

    Mafundi wa skiming na rangi

    Kwan unapatikana wapi?
  2. Rushamvu

    Kwa nini Huduma ya Choo huwa hazipandi wala hazishuki bei

    Kwan mwaka 1986 bei ilikuwa sawa na sasa? Zinapanda bana acha kutufanyia roho mbaya sisi wala "Chair Fire" Sent using Jamii Forums mobile app
  3. Rushamvu

    Nililelewa kikatili na mama yangu, simkumbukagi kama baba yangu

    Aisee kwanza inabidi umuombe msamaha mama yako kuanzia sasa na umshukuru kwa yote aliyokutendea maana ASINGEFANYA VILE BASI LEO HII USINGEKUWA KAMA ULIVYO kwa maana ya kupata elimu hadi kuwa na kazi trust me! Alikua ankuweka katika njia iliyonyoka!
  4. Rushamvu

    Brandnew IPhone 5s For sale

    Aisee toa full specification za cm na useme uko wap eboo!
  5. Rushamvu

    Clouds hamkomi? Diamond atawaponza

    Huyu Mondi kwanza katumia tafsida kutamka neno hilo afu neno lenyew la kihuni cdhan kama kwne kamusi ya kisw lipo na linamaana aliyoikusudia! Kwa hivyo cion kama anakosa kwa serikali.
  6. Rushamvu

    Pata Ramani na ujenge kisasa

    Naitaji Raman ya nyumba vyumba 3, vyoo 2 ( 1 self) Dining na Sebule. Ni pm if you can do that job.
  7. Rushamvu

    Eti wanawake weusi hawana mvuto?

    kwan huyo unaemuita mweupe ni mkarekani au nae ni muafrika? maana cjaelewa unaposema tunajikataa waafrika, hebu dadafua!
  8. Rushamvu

    Tumeshindwa kuoana kwa tofauti ya dini, utatuzi ni nini hapa?

    yaliyokupata ni kama yangu ila mi tayari nimeshajiengua na tayar nina mwingine ambae panapo majaliwa January ntaweka ndani.
  9. Rushamvu

    Asante Whatsapp umenipatia mpenzi

    Single again this tym with experiance! pole mpenzi.
  10. Rushamvu

    Nahitaji Tecno Y4

    ninayo nimeinunua mwez wa saba haina tatizo hata kdg, ni pm nikupe info zaid
  11. Rushamvu

    Pata line za wakala zikiwa mpya hazijatumika

    uko wapi kwa sasa?
  12. Rushamvu

    Swali: Nani ka msaliti mwenzake, mwanamke au mwanaume?

    mwanaume alikuwa anakamilsha ule usemi wa 'Ladies first'
Back
Top Bottom