Abu Dhabi kuna sehemu nimepasahau jina ila kuna msikitini na makanisa mawili eneo moja na msikitini unaita msikiti wa bikiria Maria mama yake Issa
Wa juzi watanikumbusha vizuri
Fatilieni
Je malalamiko yake ni ya kweli?
Na mchukue hatua siyo mpaka aje kiongozi wa siasa awatumbue ndiyo mfatilie
Niwakumbushe tu Makamu wa Rais ni mkazi wa chanika ipo siku atakuja huku tutawasemea
Mnatia sana hasira nyie basi tu.
Nendeni pale Chanika kwenye ofisi yenu mpya mkaone wananchi wanavyosota pale
Kwa ujumla Tanesco Chanika mnashida sana
Mtaa Zogoali
Karibu na kanisa kikosi cha Injili tanzania
Tanesco Tanesco kwani hii nchi kuna wengine hatustahili kupata umeme?
Mlileta nguzo mkaweka pale kwa mama rashidi karibu na kanisa la kikosi cha injili tanzani. Zilivyokuwa zinaondoka mpaka zinatia hasira.
Inawezekana we mpe moyo ajaribu
Akishindwa wakati mwingine Atafanya vizuri. Tuache roho za kimasikini kukwamishana kwenye mambo ambayo we mwenyewe hujawahi hata kujaribu km 5 tu
Naomba kufahamu utaratibu wa viti Maalumu kwenye Chama ukoje? Maana nionavyofahamu
Wanaomba na kupigiwa kura kabla hata ya uchaguzi sasa imekuwaje hawa tena au ndiyo waliopita mwanzoni kabla ya kukosa kwenye majimbo?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.