Countrywide
JF-Expert Member
- Mar 2, 2015
- 18,173
- 27,223
Katika kipindi fulani hivi kuliibuka watu ambao wanaotumiwa vibaya na wanaotumiwa na maadui wa Taifa hili wakawa wana-question sana ulinzi wa Rais, mara ooh mbona analindwa sana mara oooh mbona anatembea na gari la machuma chuma.
Anatembea na Askari wana mi-bunduki, mara analindwa kuliko kim jong un, hizi zote ni siasa za kutaka kutoa sytem nje ya reli.
Rais hata awe mzuri kiasi gani ni lazima atakuwa na maadui ambao 24/7 wanawaza kumdhuru, na sio Rais tu hata viongozi wengi huwa wana maadui hata ufanyaje.
Mama Samia ni sahihi kutumia kila aina ya ulinzi anaoona unafaa kama ilivyo kwa mtangulizi wake. Maana vijana wa ufipa walianza ooh ngoja tuone kama lile gari la machumachuma juu litakuwepo, mara ooh ngoja tuone kama wale wanajeshi wanaovaa bunduki watakuwepo.
Walipoanza kuona ulinzi upo vilevile wakanuna wakaja na maneno mengi ya kuonyesha eti CCM ni ile ile. Rais hajipangii ulinzi Bali anapangiwa, na hata Rais atayekuja bado atatumia hilo gari na hao Askari
Anatembea na Askari wana mi-bunduki, mara analindwa kuliko kim jong un, hizi zote ni siasa za kutaka kutoa sytem nje ya reli.
Rais hata awe mzuri kiasi gani ni lazima atakuwa na maadui ambao 24/7 wanawaza kumdhuru, na sio Rais tu hata viongozi wengi huwa wana maadui hata ufanyaje.
Mama Samia ni sahihi kutumia kila aina ya ulinzi anaoona unafaa kama ilivyo kwa mtangulizi wake. Maana vijana wa ufipa walianza ooh ngoja tuone kama lile gari la machumachuma juu litakuwepo, mara ooh ngoja tuone kama wale wanajeshi wanaovaa bunduki watakuwepo.
Walipoanza kuona ulinzi upo vilevile wakanuna wakaja na maneno mengi ya kuonyesha eti CCM ni ile ile. Rais hajipangii ulinzi Bali anapangiwa, na hata Rais atayekuja bado atatumia hilo gari na hao Askari