Yani tatizo sio kukata, ukikopa kukatwa lzm unajua kutakuwepo tu, lkn utaratibu wa ukataji ndio muhimu ili maisha mengine yaendelee. Maana bado tunaendelea kuishi, tukatwe kiasi ili tuweze kufanya mambo mengine
Soma uelewe nilikotolea taarifa ambako pia sio pa kuaminika kwasababu hakuna ushahidi wa mhusika mwenyewe Bali wachangiaji ambao hatujui uhusiano wao na mtendewa.
Mie hiyo video nimeiona kwa Mange. Kwa Maelezo ya baadhi ya wachangiaji wanasema eti huyo Dada alikua ni tapeli wa Facebook, anawasiliana na mwanaume kwa Makubaliano ya kukutana akishatumiwa nauli anakwepa haendi. Akamfanyia hivyo jamaa mmoja zaidi ya Mara mbili. Kwahiyo yule aliyetapeliwa...
Wadau naona mnamlazimisha mtoa mada kua chuo kitakua St. John's university of Tanzania. Wakati yeye hajasema hivyo. Yeye cha kwake kinaitwa kama alivyotaja.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.