Ufafanuzi NACTE

Ufafanuzi NACTE

Mmanga2

Senior Member
Joined
Oct 30, 2014
Posts
110
Reaction score
28
Eti kwa wale waliochaguliwa vyuo vya elimu wana comfem je? maana ukiingia kweny website ya nacte wanakuambia unatakiwa ukoferm kama utaenda chuo.sasa sijui mtu ukitaka ukoferm unafanyaje??
 
Kwamba na wewe unaenda chuo hata kuandika ni taabu. mbona mnatuaibisha wanafunzi wenzenu? soma tena hiyo notification ya nacte. ni chuo ndo kinapaswa kithibitishe uteuzi wako sio wewe uende. uthibitisho utaona pindi utakapoona jina lako kwenye list ya wanafunzi walio chaguliwa inayotolewa na chuo husika
 
Kwamba na wewe unaenda chuo hata kuandika ni taabu. mbona mnatuaibisha wanafunzi wenzenu? soma tena hiyo notification ya nacte. ni chuo ndo kinapaswa kithibitishe uteuzi wako sio wewe uende. uthibitisho utaona pindi utakapoona jina lako kwenye list ya wanafunzi walio chaguliwa inayotolewa na chuo husika

Hujaelewa swali la huyo, yaan kwawalimu wanakomfirm online ktk website, sio kama watu wa degree
 
Kwamba na wewe unaenda chuo hata kuandika ni taabu. mbona mnatuaibisha wanafunzi wenzenu? soma tena hiyo notification ya nacte. ni chuo ndo kinapaswa kithibitishe uteuzi wako sio wewe uende. uthibitisho utaona pindi utakapoona jina lako kwenye list ya wanafunzi walio chaguliwa inayotolewa na chuo husika

Kweli wanafunzi wa siku hizi mnatia mashaka! ulikuwa na lengo jema la kumsaidia mwenzako lakini hata wewe inaonekana hujaelewa maelekezo ya NACTE! Walimu kazi wanayo na tatizo kubwa mko bize na mambo mengi!!!.... Maelekezo ni kwamba, unafungua "PROFILE" yako uliyotumia wakati wa kuomba chuo. Pale kama umechaguliwa utakuta neno "SELECTED" na utaona neno "CONFIRM" mbele ya chuo ulicho chaguliwa! unachotakiwa kufanya ni kubofya kwenye "CONFIRM" hapo utakuwa umethibitisha kukubali chaguo ulilochaguliwa.
 
Unajulishwa kwamba umechaguliwa kujiunga na kozi/program na Chuo kama ilivyo ainishwa hapo chini. Uchaguzi huu unategemea uthibitisho kutoka Chuoni.
 
Mimi ckuona neno confirm, but niliona pending. Na chuo nilichochaguliwa kilikua kinafungua tarehe 27,lakini Leo chuo kimenitumia SMS ya kuniambia kwamba chuo kitafunguliwa tarehe 2,hapo wanamaanisha ni full confirmed ingawaje Mimi cjacomfirm
 
Mimi ckuona neno confirm, but niliona pending. Na chuo nilichochaguliwa kilikua kinafungua tarehe 27,lakini Leo chuo kimenitumia SMS ya kuniambia kwamba chuo kitafunguliwa tarehe 2,hapo wanamaanisha ni full confirmed ingawaje Mimi cjacomfirm

Wew Ngaz gn mkuu!!? Maana hata mim nasubir confirmation
 
Kweli wanafunzi wa siku hizi mnatia mashaka! ulikuwa na lengo jema la kumsaidia mwenzako lakini hata wewe inaonekana hujaelewa maelekezo ya NACTE! Walimu kazi wanayo na tatizo kubwa mko bize na mambo mengi!!!.... Maelekezo ni kwamba, unafungua "PROFILE" yako uliyotumia wakati wa kuomba chuo. Pale kama umechaguliwa utakuta neno "SELECTED" na utaona neno "CONFIRM" mbele ya chuo ulicho chaguliwa! unachotakiwa kufanya ni kubofya kwenye "CONFIRM" hapo utakuwa umethibitisha kukubali chaguo ulilochaguliwa.
Nimerudia kusoma post yake sijaelewa ipo ina hang mtoa mada anadai vyuo vya elimu at first sikutambua kama atakuwa anamaanisha vyuo vya ualimu until niliposoma post yako. hebu imagine huyu anaenda kufundisha watu. jamani charity begins at home
 
Mimi pia nasubiri confirmation kutoka chuo nilicho be selected sio mimi ndiye ni confirm hilo ni geni kwangu.Wadau tunawaomba mlio Karibu na chuo ulichopangiwa ufike ili tupate taarifa mpya maana vyuo vimechelewa sana kuthibitisha kiasi cha kutia hofu kwa miongoni wa wanachuo tarajali.
 
Samahan naomba kuuliza kwamba eti saiv ualimu mwisho wa kuchaguliwa ni GPA ngapi. Nina mdogoangu ana 1.4 nili apply lkn hamna kitu.
 
Eti kwa wale waliochaguliwa vyuo vya elimu wana comfem je? maana ukiingia kweny website ya nacte wanakuambia unatakiwa ukoferm kama utaenda chuo.sasa sijui mtu ukitaka ukoferm unafanyaje??

Kweli wanafunzi wa siku hizi mnatia mashaka! ulikuwa na lengo jema la kumsaidia mwenzako lakini hata wewe inaonekana hujaelewa maelekezo ya NACTE! Walimu kazi wanayo na tatizo kubwa mko bize na mambo mengi!!!.... Maelekezo ni kwamba, unafungua "PROFILE" yako uliyotumia wakati wa kuomba chuo. Pale kama umechaguliwa utakuta neno "SELECTED" na utaona neno "CONFIRM" mbele ya chuo ulicho chaguliwa! unachotakiwa kufanya ni kubofya kwenye "CONFIRM" hapo utakuwa umethibitisha kukubali chaguo ulilochaguliwa.

Nadhani huenda likawa ndio jibu zuri/sahihi
 
Sasa mimi had Sasa sioni Jina ktk website ya chuo

Nyie vijana nyie!! mmelogwa na nani? Ili kufahamu kama umechaguliwa si lazima uangalie kwenye website ya chuo! fungua profile yako hapo kama umechagulia utaandikiwa SELECTED na kama hukuchaguliwa utakuta NOT SELECTED na sababu za kutochaguliwa ndio maana tangu mwanzo unafanya selection mliambiwa mtunze password zenu mlizotumiwa kwa njia ya e-mail
 
Nyie vijana nyie!! mmelogwa na nani? Ili kufahamu kama umechaguliwa si lazima uangalie kwenye website ya chuo! fungua profile yako hapo kama umechagulia utaandikiwa SELECTED na kama hukuchaguliwa utakuta NOT SELECTED na sababu za kutochaguliwa ndio maana tangu mwanzo unafanya selection mliambiwa mtunze password zenu mlizotumiwa kwa njia ya e-mail

Tatizo sio kulogwa, sisi tupo provisional selected inamaana hadi tuwe confirmed kutoka chuo husika, na mbaya Zaid chuo ukienda wanasema hawakutambui wao hawajui profile hadi uone Jina ktk website Yao tu
 
Mimi pia nasubiri confirmation kutoka chuo nilicho be selected sio mimi ndiye ni confirm hilo ni geni kwangu.Wadau tunawaomba mlio Karibu na chuo ulichopangiwa ufike ili tupate taarifa mpya maana vyuo vimechelewa sana kuthibitisha kiasi cha kutia hofu kwa miongoni wa wanachuo tarajali.

ili chuo kiku-confirm lazima wewe u-confirm kwanza kama umekubaliana na chaguzi uliyochaguliwa kwenye profile yako wala sio geni ni utaratibu wa kawaida tu
 
Back
Top Bottom