Ni 6.7m japo yaweza kulipwa kwa awamu pindi uaminifu ukiwepo ila for further negosiation ni contact kwa njia ya Pm ili kidogo tujenge groundness ya u seriousness hta pia mawasiliano
ni container za kisasa zinazo patikana jijini mwanza na zinauzwa wastan wa nusu gharama wabei yake halisi kwa mwenye haja ya kuzinunua tafadhar ani reply ili hatua nyingne zifwate
habar,kwa muda mrefu sasa ninakumbwa na tatzo kubwa sana hususa la kukohoa zen kwa baaday naishia kubanja ovyo ovyo hii imekua haibu kwang na naomba ushaur wenu kuhusu tiba yake
ndio namaabisha million na pia napo sema biashara yakawaida nimechukua idea ya kua najua fikra uanzilishi wa biashara kwa njia ya viwanda ni cost kubwa sana ila kwa sisi tunaotumia SIDO kama mgongo wetu twaziita biashara za kawaida
habar,nilikuwa napenda ushaur wenu wa kina juu ya uanzilishi wa biashara ya kawaida ya uzalisha wa mtaji wa 50-60m nijiusishe na biashara yenye chachu na tija la kimaendeleo
International law is a double standard,they are countries are forced to obey the laws while other do not obey them"discuss for mee plllzzz through great reasons
kutoka gazeti maarufu nchini Kenya ifuatayo ni orodha ya wasani matajiri
1.JAGUAR(KENYA)
2.PREZZO(KENYA)
3.CHAMELEON(UG)
4.BOBI WINE(UG)
5.BEBE COOL(UG)
Tz tuko nyuma
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.