kutoka gazeti maarufu nchini Kenya ifuatayo ni orodha ya wasani matajiri
1.JAGUAR(KENYA)
2.PREZZO(KENYA)
3.CHAMELEON(UG)
4.BOBI WINE(UG)
5.BEBE COOL(UG)
Tz tuko nyuma
Safi kabisa, wa Tz wasanii wakipata hela wana wekeza kwenye nyuchi tu!!!! Tena hela zenyewe zinapatikana kwa kuwa punda wa sembe, ni za mashetani hazikawii hizo. Wenzao wakipata hela wanaweka vitega uchumi vinazalisha huku nao wakipiga mzigo. Message sent to Diamond Platnumz na wengine, wajue kazi za wasanii wa aina zote huwa nazo zinafifia with time. Wengine wanachipukia, so ukipata pesa ukiwa young star or celeb ni vema uwekeze maana kama huna ubunifu with time unakuwa outdated!!! Where is Mr. Nice???kutoka gazeti maarufu nchini Kenya ifuatayo ni orodha ya wasani matajiri
1.JAGUAR(KENYA)
2.PREZZO(KENYA)
3.CHAMELEON(UG)
4.BOBI WINE(UG)
5.BEBE COOL(UG)
Tz tuko nyuma
kutoka gazeti maarufu nchini Kenya ifuatayo ni orodha ya wasani matajiri
1.JAGUAR(KENYA)
2.PREZZO(KENYA)
3.CHAMELEON(UG)
4.BOBI WINE(UG)
5.BEBE COOL(UG)
Tz tuko nyuma
kutoka gazeti maarufu nchini Kenya ifuatayo ni orodha ya wasani matajiri
1.JAGUAR(KENYA)
2.PREZZO(KENYA)
3.CHAMELEON(UG)
4.BOBI WINE(UG)
5.BEBE COOL(UG)
Tz tuko nyuma
wapi juma necha kiloboto,ney,shilole