Recent content by Rugberna

  1. R

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Naombeni odd 10 za Leo Naona akili yangu ishagoma
  2. R

    Clinical medicine au electrical engineering ipi sahih?

    Passion ni daktari,,, lakin kitu kinachohusisha Maths Ndio nafikiri naweza kukifanya kwa urahisi zaidi
  3. R

    Clinical medicine au electrical engineering ipi sahih?

    Doctor or engineer!!! Nimeishi kwenye hii dilemma kwa Miaka yote,,, umefika wakat wa kuchagua moja nataman nipate mtu aniongoze
  4. R

    Clinical medicine au electrical engineering ipi sahih?

    Naombeni ushauri wakuu Kati ya diploma ya clinical medicine na electrical engineering njia ipi ni sahih kwa wakat tuliopo na tunavyoenda mbele.
  5. R

    David Rwenyagira atua rasmi Wasafi FM

    Edo sio muongeaji mzuri anajua kuandika tu Sent from my TECNO-N2 using JamiiForums mobile app
  6. R

    Mliopo Uwanja wa Taifa Tigo Fiesta Tunaomba Updates

    Mnachukia kuipenda na mnapenda kuichukia,,This is Clouds
  7. R

    Baba kasema leo saa7 mchana Clouds TV/FM.

    Ipo ya TV tofauti na hiyo nahisi itaanza kutumika jumatatu
  8. R

    Kwa miaka 18 sijawahi kushudia ugumu wa biashara kama awamu hii ya Tano

    Bora kubeti kuna kupata au kukosa lakini biashara ni kukosa tu Sent using Jamii Forums mobile app
  9. R

    Doggy style imeharibu vijana wengi

    Popo kanyea mbingu Sent using Jamii Forums mobile app
  10. R

    Kama Dunia inazunguka jua kwa Spidi kubwa kwanini vyombo vilivyo nje ya dunia haviachwi?

    Kasome Newton's law of gravitation na Newton 2nd law of motion ndio zinakupa uzito wa dunia bila kutumia mzani,,pia usikalili kuwa ni mzani pekee ndio unaweza kukupa uzito wa kitu,sometimes zinatumika equations Sent using Jamii Forums mobile app
  11. R

    Kama Dunia inazunguka jua kwa Spidi kubwa kwanini vyombo vilivyo nje ya dunia haviachwi?

    Kama unauamini huo mzani waliokutengenezea ili upime uzito kwa nini usiamini hizo equations zinazokupa uzito wa dunia!? Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom