Ndugu inabidi tuongeze bidii katika kushauri vijana kupenda kusoma vitabu kwani tunajifunza mengi sana. Kitabu nikizuri bado nakisoma hata kama ni kirefu nitakimaliza tu.
Hongera sana kwa kuweka hapa jamvini.
Marehemu alifanyiwa uchunguzi kabla ya mazishi? Je majibu yalisemaje? Kama alipigwa risasi, je walimkuta na risasi kwenye mwili au zilitokea upande wapili? Kama wananchi tulipewa majibu kipindi hicho? Kwanini linakuja kuibuka sasa?
Che Guevara mnamo disemba 28 mwaka 1959 ktk chuo kikuu cha Las Villas halipata kusema haya:
"I would say that in order to reach the people you must feel as if you are part of the people. You must know what the people want, what they need, and what they feel. You must do a little self-analysis...
Usipo kuwa na uvumilivu unaweza kupata ugonjwa wa moyo kwa kuona yanayotokea nchini. Kama mwanafunzi yupo kwenye mafunzo kwa vitendo tena ugenini hivi serikali inategemea huyu kijana apate wapi maitaji yake? Wanafunzi tukidai haki zetu, ndiyo hayo ya kuwekwa ndani hili tunyamaze kweli sawa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.