Recent content by ruffinus

  1. R

    Huyu Dimmoso na ITV malumbano ya Hoja Kuna nini?

    Kuna jamaa pia anajiita Rais wa malofa. Ni walewale kila cku aisee!
  2. R

    Diamond yukoje jamani?!

    Umenichekesha sana asee!
  3. R

    Lowassa: Gwajima ni mnafiki

    Eti sabato masalia. Nadhani huyo jamaa hauja muelewa cz sidhani kama amemaanisha. Naamini kafanya kijembe hapo!!
  4. R

    Tukumbushane Watangazaji wa mpira wa enzi hizo

    Dominick Chilambo, Nadhir Mayoka,Idd Mchata!!
  5. R

    Tukio gani la kisiasa hutolisahau mwaka huu wa 2015?

    Huu uzi unafurahisha sana kwa maana unaleta kumbukumbu nzuri sana, mtoa mada naomba uwe unaurudia mara baada ya kipindi fulani,ikiwezekana hadi tutakapokuwa tunaingia ktk kipindi cha uchaguzi mkuu ujao!
  6. R

    Stars wasingizia baridi kipigo cha Ethiopia

    Miaka 5 tu haitoshi mkuu,minimum iwe 10
Back
Top Bottom