siasa za mwaka huu ni shidaaa ,eti lowasa na sumaye team moja, mtikila na ccm marafiki, slaa na lipumba maswaiba wa ccm, lowasa na chadema damudamu ,magufuli na wasanii wakubwa wa nchi team moja ,magufuli anashangaa uozo ndani ya ccm mbele ye mwenyekiti wake, lowasa asema elimu bure hadi chuo...