mchotamaji
JF-Expert Member
- Sep 22, 2015
- 219
- 66
Hatimae Serikali inayoongozwa Na CCM imeshindwa kulipa madeni inayodaiwa Na Watumishi mbalimbali ,Wakulima Na Wakandarasi.Madeni hayo yana miaka mingi sana tokea utawala Wa Mkapa mpaka huu Wa Kikwete ambao unamalizika mwezi ujao.Hakika CCM imewanyanyasa sana hao wanaodai kwani hata mazingira yao ya kazi ni mabovu.
CCM imepoteza mvuto kwa wananchi Na ndio maana ktk uchaguzi Wa mwaka huu wanategemea jina la MTU kuliko la chama.CCM imediliki kununua viongozi Wa upinzani ikidhani itaudhohofisha upinzani lakini ndio kwanza imeuimalisha maradufu.CCM imenunua mpaka wasanii kutafuta mvuto kwa wananchi lakini bado hali in mbaya .CCM imediliki kuwatukana matusi Watanzania kupitia kiongozi mkubwa Mh.MKAPA kwa Kuwaita WAPUMBAVU Na MALOFA kitendo ambacho kimewakera sana wananchi Na viongozi Wa Dini.Wakati umefika Wa kuiambia CCM tumeichoka tunataka MABADILIKO.
CCM imepoteza mvuto kwa wananchi Na ndio maana ktk uchaguzi Wa mwaka huu wanategemea jina la MTU kuliko la chama.CCM imediliki kununua viongozi Wa upinzani ikidhani itaudhohofisha upinzani lakini ndio kwanza imeuimalisha maradufu.CCM imenunua mpaka wasanii kutafuta mvuto kwa wananchi lakini bado hali in mbaya .CCM imediliki kuwatukana matusi Watanzania kupitia kiongozi mkubwa Mh.MKAPA kwa Kuwaita WAPUMBAVU Na MALOFA kitendo ambacho kimewakera sana wananchi Na viongozi Wa Dini.Wakati umefika Wa kuiambia CCM tumeichoka tunataka MABADILIKO.