CHADEMA yameguka vipande viwili

CHADEMA yameguka vipande viwili

Dr slaa akupumzike. Pia acheni kuandika uongo wa ivo. Jie ndo wasemaji wa CDM?
Mbona hamsemi ccm ina makundi matano ?
Matapeli,
Wazushi
Wachochea vurugu
Wezi
Wavujaji wa pesa za uma?

Jitambue wewe unajiandikia kama umekanyaga moto
 
Dr slaa akupumzike. Pia acheni kuandika uongo wa ivo. Jie ndo wasemaji wa CDM?
Mbona hamsemi ccm ina makundi matano ?
Matapeli,
Wazushi
Wachochea vurugu
Wezi
Wavujaji wa pesa za uma?

Jitambue wewe unajiandikia kama umekanyaga moto

Umekurupuka sana wewe
 
Hivi nyie mnaobisha hivi mnadhani wafuasi wa Dr. Slaa wamefurahishwaa na yanayoendelea na kwamba roho zao Hazina nyama? Binadamu hukuzwa na matukio ya historia. Mwaka huu ni mwaka wa kukuza vijana siyo kimwili bali kiakili na kiroho ili wakomae katika kuchambua mambo kwa mtazamo mpya kabisa. 25 Oktoba watagraduate wengi humu.
kuna waNACHAMA WA CHADEMA HAKUNA WAFUASI WA SLAA , WALA MBOWE , WALA BEN, WATU WANAKUWA WANACHAMA WA CHAMA CHA SIASA KWA KUFUATA ITIKADI YA CHAMA NA SIO MTU
 
Chadema kwishaaaaaaa kabsaaaaa.

Mkuu hata mimi natamani CDM ife walau tupumue japo kidogo maana tangu upinzani uingie nchini wao ni kutushitaki kwa wananchi hadi tunakosa kupiga dili zetu hadi Watz wameanza kuamka usingizini
 
Hata hivyo chadema asilia tulishatoa tamko letu baada ya kuona sintofahamu aliyotendewa kamanda wetu Dr Slaa na wengine wagombea ambao walishinda kwenye kura za maoni lakini wakakatwa wakaingizwa mamluki kutoka ccm. Angalia majimboni hali ilivyo ukawa kwa ukawa wanapambana zaidi ya majimbo 50. ?

Si mgeenda ccm au chama chochote kama act au kile cha Mtikila
 
Dozi ya LOWASSA inavuruga vichwa vya LUMUMBA. HEHEHE MABADILIKOO....
 
hata kama likigawanyika mara7, bado kura ni kwa LOwasa...na wabunge wa ukawa..

hizo nyingine ni propaganda za LUMUMBA... au masaki IT team!!

4U Movement wao ni Lowasa tu potelea mbali chadema ikifa, kazi kwao
 
Kadri siku zinavyozidi kwenda mbele migogoro imezidi kujikita ndani ya chadema na sasa kuna makundi mawili ambayo ni chadema asilia na chadema pesa.

Hayo yote yamekuja baada ya chama kuwakaribisha mafisadi na kupewa nafasi za kugombea wakati wazalendo wakikosa fursa hizo.

Kundi la pesa linaonekana kuwa na sauti kubwa wakati wa maamuzi ndani ya chama lakini kundi la asilia wao ndio wapiga kura wengi na muda mwingi kundi hili wapo kimya, wanafanya harakati za kimyakimya, wadadishi wa mambo wanadai kundi hili ni kubwa na ndilo linalomuunga mkono Dr Slaa kwa asilimia 100%.

Ni kweli katika hatua hiyo chadema kinaenda kupoteza mwelekeo.

Naona ni sawa na FISI AKISUBIRI MKONO WA BINADAMU UKATIKE

Inawezekana tukawa tunatofautiana lakini kuna mahali tunabaki wamoja.
 
Dr slaa akupumzike. Pia acheni kuandika uongo wa ivo. Jie ndo wasemaji wa CDM?
Mbona hamsemi ccm ina makundi matano ?
Matapeli,
Wazushi
Wachochea vurugu
Wezi
Wavujaji wa pesa za uma?

Jitambue wewe unajiandikia kama umekanyaga moto


Utaambulia MATUSI
 
CHADEMA wataisoma namba CCM mbele kwa mbele

Ni kweli kabisa.Bila kusomba watu mikutano haifanyiki,na kwa namna hii nategemea siku ya kupiga KURA msisahau kwenda kuwababeba.

Maana safafri hii hakuna hata kura moja kwa UPINZANI.
 
Dozi ya LOWASSA inavuruga vichwa vya LUMUMBA. HEHEHE MABADILIKOO....

Chezea Ngoyai wewe acha Lumumba waisome namba, ooh mara mgonjwa ooh mara mdini ooh mara gaidi, sasa kama ana vyote hivi mbona mnatumia nguvu kubwa kumuattack kwa kila propaganda chafu.
 
Dozi ya LOWASSA inavuruga vichwa vya LUMUMBA. HEHEHE MABADILIKOO....

01-Lowasa.jpg

Haya bana, ingawaje Dr Slaa ndo kawashitukia.
 
hivi kosa la lowasa ni lipi mpaka ccm mtoe mitusi yote hiyo dah balaa,ungegombea slaa , hapa ccm mngekuwa mnachekelea tu C ndio haaaaa kasi kweli wabongo
 
Kadri siku zinavyozidi kwenda mbele migogoro imezidi kujikita ndani ya chadema na sasa kuna makundi mawili ambayo ni chadema asilia na chadema pesa.

Hayo yote yamekuja baada ya chama kuwakaribisha mafisadi na kupewa nafasi za kugombea wakati wazalendo wakikosa fursa hizo.


Kundi la pesa linaonekana kuwa na sauti kubwa wakati wa maamuzi ndani ya chama lakini kundi la asilia wao ndio wapiga kura wengi na muda mwingi kundi hili wapo kimya, wanafanya harakati za kimyakimya, wadadishi wa mambo wanadai kundi hili ni kubwa na ndilo linalomuunga mkono Dr Slaa kwa asilimia 100%.

Ni kweli katika hatua hiyo chadema kinaenda kupoteza mwelekeo.
jitambue kwanza
 
Watu wa Chadema wana nunulika kama vitumbua. Juzjuz tu hapa walikuwa wanaimba lowasa fisadi
 
Kadri siku zinavyozidi kwenda mbele migogoro imezidi kujikita ndani ya chadema na sasa kuna makundi mawili ambayo ni chadema asilia na chadema pesa.

Hayo yote yamekuja baada ya chama kuwakaribisha mafisadi na kupewa nafasi za kugombea wakati wazalendo wakikosa fursa hizo.

Kundi la pesa linaonekana kuwa na sauti kubwa wakati wa maamuzi ndani ya chama lakini kundi la asilia wao ndio wapiga kura wengi na muda mwingi kundi hili wapo kimya, wanafanya harakati za kimyakimya, wadadishi wa mambo wanadai kundi hili ni kubwa na ndilo linalomuunga mkono Dr Slaa kwa asilimia 100%.

Ni kweli katika hatua hiyo chadema kinaenda kupoteza mwelekeo.


Nyie wote mnao ihadaa Chadema eti chadema asilia ohoo Slaa.Contract yenu mwisho tarehe 24.Mungu ni mwaminifu na baada ya hapo.Yaliyomapenzi ya Mungu yatatimizwa.Slaa asubiri huruma ya Magufuli.Na ikishindikana hiyo ni bae bai ila chadema itapakia palepale
 
Back
Top Bottom