Dr slaa akupumzike. Pia acheni kuandika uongo wa ivo. Jie ndo wasemaji wa CDM?
Mbona hamsemi ccm ina makundi matano ?
Matapeli,
Wazushi
Wachochea vurugu
Wezi
Wavujaji wa pesa za uma?
Jitambue wewe unajiandikia kama umekanyaga moto
kuna waNACHAMA WA CHADEMA HAKUNA WAFUASI WA SLAA , WALA MBOWE , WALA BEN, WATU WANAKUWA WANACHAMA WA CHAMA CHA SIASA KWA KUFUATA ITIKADI YA CHAMA NA SIO MTUHivi nyie mnaobisha hivi mnadhani wafuasi wa Dr. Slaa wamefurahishwaa na yanayoendelea na kwamba roho zao Hazina nyama? Binadamu hukuzwa na matukio ya historia. Mwaka huu ni mwaka wa kukuza vijana siyo kimwili bali kiakili na kiroho ili wakomae katika kuchambua mambo kwa mtazamo mpya kabisa. 25 Oktoba watagraduate wengi humu.
Chadema kwishaaaaaaa kabsaaaaa.
Hata hivyo chadema asilia tulishatoa tamko letu baada ya kuona sintofahamu aliyotendewa kamanda wetu Dr Slaa na wengine wagombea ambao walishinda kwenye kura za maoni lakini wakakatwa wakaingizwa mamluki kutoka ccm. Angalia majimboni hali ilivyo ukawa kwa ukawa wanapambana zaidi ya majimbo 50. ?
hata kama likigawanyika mara7, bado kura ni kwa LOwasa...na wabunge wa ukawa..
hizo nyingine ni propaganda za LUMUMBA... au masaki IT team!!
Kadri siku zinavyozidi kwenda mbele migogoro imezidi kujikita ndani ya chadema na sasa kuna makundi mawili ambayo ni chadema asilia na chadema pesa.
Hayo yote yamekuja baada ya chama kuwakaribisha mafisadi na kupewa nafasi za kugombea wakati wazalendo wakikosa fursa hizo.
Kundi la pesa linaonekana kuwa na sauti kubwa wakati wa maamuzi ndani ya chama lakini kundi la asilia wao ndio wapiga kura wengi na muda mwingi kundi hili wapo kimya, wanafanya harakati za kimyakimya, wadadishi wa mambo wanadai kundi hili ni kubwa na ndilo linalomuunga mkono Dr Slaa kwa asilimia 100%.
Ni kweli katika hatua hiyo chadema kinaenda kupoteza mwelekeo.
Dr slaa akupumzike. Pia acheni kuandika uongo wa ivo. Jie ndo wasemaji wa CDM?
Mbona hamsemi ccm ina makundi matano ?
Matapeli,
Wazushi
Wachochea vurugu
Wezi
Wavujaji wa pesa za uma?
Jitambue wewe unajiandikia kama umekanyaga moto
CHADEMA wataisoma namba CCM mbele kwa mbele
Kijana acha mihemuko!
Dozi ya LOWASSA inavuruga vichwa vya LUMUMBA. HEHEHE MABADILIKOO....
Dozi ya LOWASSA inavuruga vichwa vya LUMUMBA. HEHEHE MABADILIKOO....
jitambue kwanzaKadri siku zinavyozidi kwenda mbele migogoro imezidi kujikita ndani ya chadema na sasa kuna makundi mawili ambayo ni chadema asilia na chadema pesa.
Hayo yote yamekuja baada ya chama kuwakaribisha mafisadi na kupewa nafasi za kugombea wakati wazalendo wakikosa fursa hizo.
Kundi la pesa linaonekana kuwa na sauti kubwa wakati wa maamuzi ndani ya chama lakini kundi la asilia wao ndio wapiga kura wengi na muda mwingi kundi hili wapo kimya, wanafanya harakati za kimyakimya, wadadishi wa mambo wanadai kundi hili ni kubwa na ndilo linalomuunga mkono Dr Slaa kwa asilimia 100%.
Ni kweli katika hatua hiyo chadema kinaenda kupoteza mwelekeo.
hata kama likigawanyika mara7, bado kura ni kwa LOwasa...na wabunge wa ukawa..
hizo nyingine ni propaganda za LUMUMBA... au masaki IT team!!
Kadri siku zinavyozidi kwenda mbele migogoro imezidi kujikita ndani ya chadema na sasa kuna makundi mawili ambayo ni chadema asilia na chadema pesa.
Hayo yote yamekuja baada ya chama kuwakaribisha mafisadi na kupewa nafasi za kugombea wakati wazalendo wakikosa fursa hizo.
Kundi la pesa linaonekana kuwa na sauti kubwa wakati wa maamuzi ndani ya chama lakini kundi la asilia wao ndio wapiga kura wengi na muda mwingi kundi hili wapo kimya, wanafanya harakati za kimyakimya, wadadishi wa mambo wanadai kundi hili ni kubwa na ndilo linalomuunga mkono Dr Slaa kwa asilimia 100%.
Ni kweli katika hatua hiyo chadema kinaenda kupoteza mwelekeo.