Wataalam naombeni msaada (ufafanuzi),
Nina Noah sr40 nimegundua Mara ninapo-switch overdrive on taa haizimi Kama ilivyo kawaida ya gari ikiwa katika overdrive mode (gear) badala yake taa inawaka na kuzima (flash/blink) tatizo ni nini wajameni na wale wakazi wa Arusha naomba tuelekezane gereji...
Mm Mr Joseph wa arusha nilikuwa nafanya malipo tcu kwa bahati mbaya nikawa nimekosea nakutuma nacte CAS nifanyeje ili hela yangu ni rudishiwe Kwan napiga cm haopokelewi!
Mungu sio kilema hadi apiganiwe kwa bunduki na mabomu,anaweza akaiteketeza dunia kwa sekunde,wampiganiae wanajisumbua wautumie muda wao kuomba rehema na wamwabudu,mtume anasikitishwa sana na mauaji ya akina mama na watoto wasiyo na hatia.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.