El'son
JF-Expert Member
- Jun 3, 2012
- 380
- 324
Huo ni wizi na kuna mtu alishalizwa kupitia tangazo hilo. Kwenye utaratibu wa kuhama hakuna kitu cha kumsafirisha afisa kupeleka kibali. Huyu tapeli anatakiwa kuwa chini ya mikono ya ulinzi.
Nina uhakika tamisemi hawahusiki kwa hili na nina omba tusiwahusishe kabisa. Ni matapeli wanaotaka kujipatia fedha kwa njia za kilaghai.
Nina uhakika tamisemi hawahusiki kwa hili na nina omba tusiwahusishe kabisa. Ni matapeli wanaotaka kujipatia fedha kwa njia za kilaghai.

