Ambacho huwa najiuliza ni kuhusiana na like dege lilopotea miaka kadhaa likajirudi...sasa hapa kilitokea nini mpaka wale watu wakajirudi wakiwa hai? Ilihali umri wao ilikuwa umeshasonga kwa upande wa kidunia??
Kuna mambo mengine ni reality lakini hayaeleweki eleweki
Mtendaji mkuu wa Wakala wa Barabara Tanzania (Tanroads), Patrick Mfugale amefariki dunia leo Jumanne Juni 29, 2021 jijini Dodoma.
Katibu mkuu wa Wizara ya Ujenzi, Joseph Malongo amesema Mfugale atakayekumbukwa kwa kusimamia ujenzi wa barabara na madaraja zaidi ya 1000 nchini amefariki dunia leo...
Ya juu ni changamoto sana...yapo conected na mishipa ya ufahamu
Ila ya chini hayana shida sana...niling'oa gego la chini asubuhi...jioni nikapiga kitimoto kama kawaida
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.