Recent content by RtsHjcq

  1. R

    Time travelling kusafiri mbele au nyuma ya muda inawezekana?

    Ambacho huwa najiuliza ni kuhusiana na like dege lilopotea miaka kadhaa likajirudi...sasa hapa kilitokea nini mpaka wale watu wakajirudi wakiwa hai? Ilihali umri wao ilikuwa umeshasonga kwa upande wa kidunia?? Kuna mambo mengine ni reality lakini hayaeleweki eleweki
  2. R

    Time travelling kusafiri mbele au nyuma ya muda inawezekana?

    Kuna kitu nimejifunza hapa
  3. R

    Mnawezaje kutumia Internet ya halotel?

    Inategemea na eneo ulilopo... Mtandao upo vizuri,kama eneo mbovu hapo ndio changamoto
  4. R

    Nani aliyemuumba Mungu?

    Ndio maana kuna utofauti kati ya miungu unayoisema na Mungu. Wewe unamaanisha mungu. Mleta mada anamaanisha Mungu.
  5. R

    Wakati Mungu anaumba alipata wapi nyenzo?

    Hakika Mkuu... Nahisi may be kuna uwezakano wa hata baadhi ya sayari zinazoishi watu kama yetu
  6. R

    TANZIA Patrick Mfugale wa TANROADS afariki dunia Jijini Dodoma

    Mtendaji mkuu wa Wakala wa Barabara Tanzania (Tanroads), Patrick Mfugale amefariki dunia leo Jumanne Juni 29, 2021 jijini Dodoma. Katibu mkuu wa Wizara ya Ujenzi, Joseph Malongo amesema Mfugale atakayekumbukwa kwa kusimamia ujenzi wa barabara na madaraja zaidi ya 1000 nchini amefariki dunia leo...
  7. R

    Maumivu ya jino Ni makali

    Ya juu ni changamoto sana...yapo conected na mishipa ya ufahamu Ila ya chini hayana shida sana...niling'oa gego la chini asubuhi...jioni nikapiga kitimoto kama kawaida
  8. R

    Unawezaje kutambua kuwa ni mchawi?

    Safi Sahihi kabisa
  9. R

    Kujisokota kwa nywele kichwani(ras) ni utajiri wa kiroho

    Mkuu hebu toa siri kidogo
Back
Top Bottom