Ipo siku Tundu Lissu atakuja kuwa Rais wa Tanzania, ni suala la muda tu

una ushahid kuwa magu ndiye aliye mshambulia? hayo mastori&chuki zenu mliyokalilishwa na kigogo mtaacha lin? ona sasa kawasaliti now mmebaki kusambaza porojo na chuki zakijinga
Mbona kuna voice clip kabisa Magufuli alipokuwa anapokea ripoti ya madini anasema kabisa. Hata mwenyewe kwenye uhai wake hajawahi kubisha ndiyo maana hakumlipia matibabu, akawafukuza waliokuwa wanamuombea apone na akamnyang'anya ubunge.

Mwishowe akamnyima haki zake za ubunge
 
Juzi nilimsikiliza kupitia space ya Maria Sarungi nikakiri kimoyo moyo Tundu Lissu ni kichwa.
Anajua kujieleza, kupanga hoja, kutoa ufafanuzi kwa mifano halisi mpaka huchoki kumsikiliza. He is next level.
Tapeli la hali ya juu, jamaa bwege kama yule unamwona in black n white,, huna haja ya kuvaa miwani. tundu lissu tupa kule
 
Sijui nitakua hai au nitakua nimekufa lakini nawaambia kuna siku lissu atakuja kuwa Rais wa JMT

Huyu ndo atakuja kuliponya hili taifa dhidi ya matatizo yote tuliyopitia

Mimi namuombea nguvu, uzima na afya tele tu najua ni suala la muda tu

Ila Watanzania tuna matatizo makubwa aisee hivi unaanzaje kumnyima mtu km lissu kura unampa jiwe?

Haya mlimtukana lisu kwamba ni kibaraka wa mabeberu. Swali la kichonganishi niwaulizeni sahivi kati ya Lisu na Hangaya ni yupi anawasujudia mabeberu miguu?Unajua vijana wa mataga sijui huwa mnawaza vipi aisee

Huko mnakopewa mikopo kila kukicha, misaada na chanjo za bure, ky na lubricants nyingine kwa ajili ya hospital hao ndo wajamaa wenzenu ausi mabeberu jamani. Sasa hapo anayetumiwa na mabeberu ni hangaya au Lissu? Mnasema lisu alikua anazunguka kwa mabeberu huyo hangaya safari zake za nje majuzi alikua kwa kina nani? Sasa kwanini hajawatembelea wajamaa wenzenu china na korea ya kaskazini?

Lissu anachokifanya kwa kiswahili inaitwa "mtumikie kafiri upate mradi" Sasa kama mlikua hamjui ndo mjue sasa lisu anatengeneza njia ya kisiasa na mafanikio kwetu sote nyie mnazidi kukopa kwa mabeberu hao hao na wamepora madini yetu na gas matatizo yote haya mliyaleta nyie CCM
Jiwe alikataliwa hata na maccm wenzie ila wasiojulikana wakampa taarifa mapema kuwa mzee TAL atakubwaga akaona isiwe tabu akafanya mchezo mchafu ambao haujawahi fanyika kwa kiwango kile. Nani angempa kura yule!!!
 
Sijui nitakua hai au nitakua nimekufa lakini nawaambia kuna siku lissu atakuja kuwa Rais wa JMT

Huyu ndo atakuja kuliponya hili taifa dhidi ya matatizo yote tuliyopitia

Mimi namuombea nguvu, uzima na afya tele tu najua ni suala la muda tu

Ila Watanzania tuna matatizo makubwa aisee hivi unaanzaje kumnyima mtu km lissu kura unampa jiwe?

Haya mlimtukana lisu kwamba ni kibaraka wa mabeberu. Swali la kichonganishi niwaulizeni sahivi kati ya Lisu na Hangaya ni yupi anawasujudia mabeberu miguu?Unajua vijana wa mataga sijui huwa mnawaza vipi aisee

Huko mnakopewa mikopo kila kukicha, misaada na chanjo za bure, ky na lubricants nyingine kwa ajili ya hospital hao ndo wajamaa wenzenu ausi mabeberu jamani. Sasa hapo anayetumiwa na mabeberu ni hangaya au Lissu? Mnasema lisu alikua anazunguka kwa mabeberu huyo hangaya safari zake za nje majuzi alikua kwa kina nani? Sasa kwanini hajawatembelea wajamaa wenzenu china na korea ya kaskazini?

Lissu anachokifanya kwa kiswahili inaitwa "mtumikie kafiri upate mradi" Sasa kama mlikua hamjui ndo mjue sasa lisu anatengeneza njia ya kisiasa na mafanikio kwetu sote nyie mnazidi kukopa kwa mabeberu hao hao na wamepora madini yetu na gas matatizo yote haya mliyaleta nyie CCM
Lissu hajawahi kushindwa kitu ktk maisha yake. Alishinda Kifo
 
mbona kuota ni haki yako ya msingi, endelea kuitumia vizuri......!
Kuota imekuwa haki ya msingi baada ya mwendazake kuonfoka? Lema aliota na akasema alichoota, akanyea ndoo kisongo miezi 4. Sasa hiyo haki inahifadhiwa wapi?
 
Sijui nitakua hai au nitakua nimekufa lakini nawaambia kuna siku lissu atakuja kuwa Rais wa JMT

Huyu ndo atakuja kuliponya hili taifa dhidi ya matatizo yote tuliyopitia

Mimi namuombea nguvu, uzima na afya tele tu najua ni suala la muda tu

Ila Watanzania tuna matatizo makubwa aisee hivi unaanzaje kumnyima mtu km lissu kura unampa jiwe?

Haya mlimtukana lisu kwamba ni kibaraka wa mabeberu. Swali la kichonganishi niwaulizeni sahivi kati ya Lisu na Hangaya ni yupi anawasujudia mabeberu miguu?Unajua vijana wa mataga sijui huwa mnawaza vipi aisee

Huko mnakopewa mikopo kila kukicha, misaada na chanjo za bure, ky na lubricants nyingine kwa ajili ya hospital hao ndo wajamaa wenzenu ausi mabeberu jamani. Sasa hapo anayetumiwa na mabeberu ni hangaya au Lissu? Mnasema lisu alikua anazunguka kwa mabeberu huyo hangaya safari zake za nje majuzi alikua kwa kina nani? Sasa kwanini hajawatembelea wajamaa wenzenu china na korea ya kaskazini?

Lissu anachokifanya kwa kiswahili inaitwa "mtumikie kafiri upate mradi" Sasa kama mlikua hamjui ndo mjue sasa lisu anatengeneza njia ya kisiasa na mafanikio kwetu sote nyie mnazidi kukopa kwa mabeberu hao hao na wamepora madini yetu na gas matatizo yote haya mliyaleta nyie CCM

acha mahaba ya kijinga
 
Ninamtetea Tundu Lissu kwa namna alivyoshambuliwa na Magufuli kwa risasi 16 pale Dodoma mwaka 2017. Ule ulikuwa ni ukatili wa hali ya juu.

Nimemuona Tundu Lissu kwenye kampeni za 2020 na nilimpigia kura japo Magufuli aliiba zote. Lakini kwa namna nilivyomuona Tundu Lissu kwa miezi hii 6 iliyokwisha, NATHUBUTU kusema akipata urais atakuwa kama Magufuli tu.

Wanafanana vitu vingi na Magufuli, eeh Mungu liepushe Taifa letu lisipate Magufuli mwingine
Shida ya Lissu ni mtu anayefata Kanuni na Sheria na pia anapenda Haki kutendeka kwa kila mtu. Na hicho ndio kilitaka kumuua sept 7 2017
 
Sijui nitakua hai au nitakua nimekufa lakini nawaambia kuna siku lissu atakuja kuwa Rais wa JMT

Huyu ndo atakuja kuliponya hili taifa dhidi ya matatizo yote tuliyopitia

Mimi namuombea nguvu, uzima na afya tele tu najua ni suala la muda tu

Ila Watanzania tuna matatizo makubwa aisee hivi unaanzaje kumnyima mtu km lissu kura unampa jiwe?

Haya mlimtukana lisu kwamba ni kibaraka wa mabeberu. Swali la kichonganishi niwaulizeni sahivi kati ya Lisu na Hangaya ni yupi anawasujudia mabeberu miguu?Unajua vijana wa mataga sijui huwa mnawaza vipi aisee

Huko mnakopewa mikopo kila kukicha, misaada na chanjo za bure, ky na lubricants nyingine kwa ajili ya hospital hao ndo wajamaa wenzenu ausi mabeberu jamani. Sasa hapo anayetumiwa na mabeberu ni hangaya au Lissu? Mnasema lisu alikua anazunguka kwa mabeberu huyo hangaya safari zake za nje majuzi alikua kwa kina nani? Sasa kwanini hajawatembelea wajamaa wenzenu china na korea ya kaskazini?

Lissu anachokifanya kwa kiswahili inaitwa "mtumikie kafiri upate mradi" Sasa kama mlikua hamjui ndo mjue sasa lisu anatengeneza njia ya kisiasa na mafanikio kwetu sote nyie mnazidi kukopa kwa mabeberu hao hao na wamepora madini yetu na gas matatizo yote haya mliyaleta nyie CCM
Mpeni kwanza uenyekiti pale Ufipa nasi tutampa urais
 
Back
Top Bottom