Recent content by Royals

  1. Royals

    INAUZWA RAM ya Desktop brand new 8GB ddr4

    Computer yangu ina 4GB Ram nikinunua hii itaongeza nini zaidi?
  2. Royals

    Unawezaje kuishi na mwanamke anayejamba jamba ovyo?

    Aisee! Kumbe siko peke yangu nnaye wajua. Hawana aibu kabisa. Katikati ya watu utasikia wanasema "ngoja niende kukojoa"badala ya kusema "naenda uwani" au kama kama ni kwenye Bus utasikia wakimwiita konda bila aibu "wee konda, sismamisha gari tukakojoe".Hawana aibu kabisa. Mijitu mzima yanaendaje...
  3. Royals

    Orodha ya Magari yasiyo na uhakika safarini

    Madhara ya ukosefu wa ajira.
  4. Royals

    Mtandao wa facebook na Instagram haupatikani

    Nilifikiri nimevamiwa na wale jamaa wa kupora Facebook za watu.
  5. Royals

    Ewe Mkristo, nani alikwambia kukusanyika kila Jumapili kwa ajili ya Ibada?

    Siku zote ni njema kwa Mungu kwa sababu Mungu yuko siku zote. Sababu ya kanisa kupanga ibada kuu ya wiki infantile siku ya jumapili pamoja na sababu zilizotangulia kusemwa na wengine ni kwa sababu Yesu ambaye ndiye kiini cha Imani yetu alifufuka siku hiyo asubuhi na mapema. Neno la Mungu...
  6. Royals

    Naomba kufahamishwa mahali zilipo ofisi za Selcom kwa Dar es Salaam

    AF409T1VZUU Imethibitishwa. Tsh90,000.00 imetumwa kwa SELCOM PAY kwenye akaunti namba 60687845 tarehe 4/6/23 saa 12:50 PM Ada Jumla Tsh2,000.00 (M-Pesa Ada Tsh2,000.00 + TOZO ya Serikali Tsh0.00). Habari. Muamala huu niliutuma kwa makosa nikiwa mjini Dodoma. Kusudio ilikuwa ni kumlipa Afroil...
  7. Royals

    Mwanangu Makonda, hakika, hautapata unachokitaka

    Kama ni kweli tutaona.
  8. Royals

    Nataka kutoa fundisho kwa huyu Mzee

    Mimi naungana na la tatu. TUMIA busara kulimaliza hili. 1. Ama mshauri mkea amwambie wazi kuwa atakwambia mambo yote na jumbe zote alizomkutumia kwenye simu au. 2. atakuunganisha naye ili akweleze ana kwa ana. 3. Amwambie kuwa atakwambia wewe ili muongozane hadi kwa mke wake ili mkayajadili...
  9. Royals

    Jihadhari na wanawake hawa, wengi wao wana vinasaba vya wapenzi wao wa zamani

    Kwa hiyo mwanaume mwenye umri mkubwa labda amefika zaidi ya miaka 55 akiwa mjane naye unamshauri ni heri aoe wenye umri wa kundi la kwanza.
  10. Royals

    Xiaomi Redmi Pad: Tablet bora zaidi kwa bei ya chini ya laki tano

    Kwa vile umesema haziingii sim card hiyo ndiyo kasoro kubwa pamojan na sifa nyingi ulizozisema. Hongera nyingi kwa namna ulivo zizelezea kwa hakika unastahili kuwa msemaji wao.
  11. Royals

    Mlima Kilimanjaro ubadirishwe jina

    Yule jamaa siyo.
Back
Top Bottom