Recent content by Royals

  1. Royals

    Msaada: Gari Kushtuka ikiwa kwenye mwendo mdogo

    Mrejesho unahitajika kwa ajili ya kusaidia wengine wenye shida kama hii.
  2. Royals

    GARI AUTOMATIC KUZIMA GHAFRA IKIWA KWENYE MSELELEKO

    Kama ukipata au umeshapata ufumbuzi wa tatizo hili ni vizuri ukarudisha mrejesho kwa sababu tatizo hili liko na watu wengi pamoja na mimi. Namba yangu ni 0784333470 ukinipigia itakuwa ni vyema zaidi.
  3. Royals

    Noah old model kuzima ikiwa kwenye mwendo mdogo

    Tatizo hilo linatusumbua wengi kwenye magari ya automatic. Ukifanikiwa kupata ufumbuzi wake uje utupe mrejesho ili tufaidike wengi.
  4. Royals

    Gari yangu inajizima nini tatizo?

    Asante kwa ushering huu. Uko na namba ya fundi wa Dodoma?
  5. Royals

    Msaada Nissan xtrail inajizima sana

    Brother, nina shida kama yako kwa gari kama yako, naomba tuwasiliane kwa ushering zaidi. Namba yangu ni 0784333470
  6. Royals

    Msaada Nissan xtrail inajizima sana

    Nina shida kama yako bila kuongeza chochote naweza kuwasiliana nawe kwa simu namba yangu ni 0784333470
  7. Royals

    INAUZWA RAM ya Desktop brand new 8GB ddr4

    Computer yangu ina 4GB Ram nikinunua hii itaongeza nini zaidi?
  8. Royals

    Unawezaje kuishi na mwanamke anayejamba jamba ovyo?

    Aisee! Kumbe siko peke yangu nnaye wajua. Hawana aibu kabisa. Katikati ya watu utasikia wanasema "ngoja niende kukojoa"badala ya kusema "naenda uwani" au kama kama ni kwenye Bus utasikia wakimwiita konda bila aibu "wee konda, sismamisha gari tukakojoe".Hawana aibu kabisa. Mijitu mzima yanaendaje...
  9. Royals

    Orodha ya Magari yasiyo na uhakika safarini

    Madhara ya ukosefu wa ajira.
  10. Royals

    Mtandao wa facebook na Instagram haupatikani

    Nilifikiri nimevamiwa na wale jamaa wa kupora Facebook za watu.
  11. Royals

    Ewe Mkristo, nani alikwambia kukusanyika kila Jumapili kwa ajili ya Ibada?

    Siku zote ni njema kwa Mungu kwa sababu Mungu yuko siku zote. Sababu ya kanisa kupanga ibada kuu ya wiki infantile siku ya jumapili pamoja na sababu zilizotangulia kusemwa na wengine ni kwa sababu Yesu ambaye ndiye kiini cha Imani yetu alifufuka siku hiyo asubuhi na mapema. Neno la Mungu...
  12. Royals

    Naomba kufahamishwa mahali zilipo ofisi za Selcom kwa Dar es Salaam

    AF409T1VZUU Imethibitishwa. Tsh90,000.00 imetumwa kwa SELCOM PAY kwenye akaunti namba 60687845 tarehe 4/6/23 saa 12:50 PM Ada Jumla Tsh2,000.00 (M-Pesa Ada Tsh2,000.00 + TOZO ya Serikali Tsh0.00). Habari. Muamala huu niliutuma kwa makosa nikiwa mjini Dodoma. Kusudio ilikuwa ni kumlipa Afroil...
  13. Royals

    Mwanangu Makonda, hakika, hautapata unachokitaka

    Kama ni kweli tutaona.
Back
Top Bottom