Recent content by Royals

  1. Royals

    JamiiForums Tanzania Kama ulikuwa hujui kuwa Dar es Salaam kuna sehemu kuna bomba kubwa limeingia baharini, wacha nikufahamishe...

    Bila shaka wewe ni mwalimu unye ifahamu vizuri kazi yako. Umefanya kazi njema. Elimu haina mwisho.
  2. Royals

    JamiiForums Tanzania Gari za kuendesha mwanaume kwa mazingira ya nchi yetu

    Kipendacho roho ndiyo dawa
  3. Royals

    JamiiForums Tanzania Hali ya hewa Marangu -Rombo haifai siku ya leo Juni 25

    Leo nafuu kumekuwa na kajua lakini siku zilizopita ilikuwa ngoma droo na Marangu.
  4. Royals

    JamiiForums Tanzania Kwanini waluguru hawapendi shule?

    Mbona wewe umesoma?
  5. Royals

    JamiiForums Tanzania Msaada: Gari Kushtuka ikiwa kwenye mwendo mdogo

    Mrejesho unahitajika kwa ajili ya kusaidia wengine wenye shida kama hii.
  6. Royals

    JamiiForums Tanzania GARI AUTOMATIC KUZIMA GHAFRA IKIWA KWENYE MSELELEKO

    Kama ukipata au umeshapata ufumbuzi wa tatizo hili ni vizuri ukarudisha mrejesho kwa sababu tatizo hili liko na watu wengi pamoja na mimi. Namba yangu ni 0784333470 ukinipigia itakuwa ni vyema zaidi.
  7. Royals

    JamiiForums Tanzania Noah old model kuzima ikiwa kwenye mwendo mdogo

    Tatizo hilo linatusumbua wengi kwenye magari ya automatic. Ukifanikiwa kupata ufumbuzi wake uje utupe mrejesho ili tufaidike wengi.
  8. Royals

    JamiiForums Tanzania Gari yangu inajizima nini tatizo?

    Asante kwa ushering huu. Uko na namba ya fundi wa Dodoma?
  9. Royals

    JamiiForums Tanzania Msaada Nissan xtrail inajizima sana

    Brother, nina shida kama yako kwa gari kama yako, naomba tuwasiliane kwa ushering zaidi. Namba yangu ni 0784333470
  10. Royals

    JamiiForums Tanzania Msaada Nissan xtrail inajizima sana

    Nina shida kama yako bila kuongeza chochote naweza kuwasiliana nawe kwa simu namba yangu ni 0784333470
  11. Royals

    JamiiForums Tanzania INAUZWA RAM ya Desktop brand new 8GB ddr4

    Computer yangu ina 4GB Ram nikinunua hii itaongeza nini zaidi?
  12. Royals

    JamiiForums Tanzania Duniani Wanawake Waganda wanaongoza kwa kuwa na Mizigo au Matrakoo Asilia. Zunguka popote, hawa viumbe wamejaaliwa

    Hakuna hata kapicha kamoja lake umekuja nako hapa kama ushahidi?
  13. Royals

    JamiiForums Tanzania Unawezaje kuishi na mwanamke anayejamba jamba ovyo?

    Aisee! Kumbe siko peke yangu nnaye wajua. Hawana aibu kabisa. Katikati ya watu utasikia wanasema "ngoja niende kukojoa"badala ya kusema "naenda uwani" au kama kama ni kwenye Bus utasikia wakimwiita konda bila aibu "wee konda, sismamisha gari tukakojoe".Hawana aibu kabisa. Mijitu mzima yanaendaje...
  14. Royals

    JamiiForums Tanzania Orodha ya Magari yasiyo na uhakika safarini

    Madhara ya ukosefu wa ajira.
  15. Royals

    JamiiForums Tanzania Mtandao wa facebook na Instagram haupatikani

    Nilifikiri nimevamiwa na wale jamaa wa kupora Facebook za watu.
Back
Top Bottom