Kama ukipata au umeshapata ufumbuzi wa tatizo hili ni vizuri ukarudisha mrejesho kwa sababu tatizo hili liko na watu wengi pamoja na mimi. Namba yangu ni 0784333470 ukinipigia itakuwa ni vyema zaidi.
Aisee! Kumbe siko peke yangu nnaye wajua. Hawana aibu kabisa. Katikati ya watu utasikia wanasema "ngoja niende kukojoa"badala ya kusema "naenda uwani" au kama kama ni kwenye Bus utasikia wakimwiita konda bila aibu "wee konda, sismamisha gari tukakojoe".Hawana aibu kabisa. Mijitu mzima yanaendaje...
Siku zote ni njema kwa Mungu kwa sababu Mungu yuko siku zote. Sababu ya kanisa kupanga ibada kuu ya wiki infantile siku ya jumapili pamoja na sababu zilizotangulia kusemwa na wengine ni kwa sababu Yesu ambaye ndiye kiini cha Imani yetu alifufuka siku hiyo asubuhi na mapema. Neno la Mungu...
AF409T1VZUU Imethibitishwa. Tsh90,000.00 imetumwa kwa SELCOM PAY kwenye akaunti namba 60687845 tarehe 4/6/23 saa 12:50 PM Ada Jumla Tsh2,000.00 (M-Pesa Ada Tsh2,000.00 + TOZO ya Serikali Tsh0.00).
Habari.
Muamala huu niliutuma kwa makosa nikiwa mjini Dodoma.
Kusudio ilikuwa ni kumlipa Afroil...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.