Naomba ruwasiliane 0714 276 334Habari wakuu napenda nitoe update ya Gari yangu juu ya shida ya kujizima shida ilikua sensa nimerekebisha hilo na gari iko sawa, asanteni.
Naomba ruwasiliane 0714 276 334Habari wakuu napenda nitoe update ya Gari yangu juu ya shida ya kujizima shida ilikua sensa nimerekebisha hilo na gari iko sawa, asanteni.
Brother, nina shida kama yako kwa gari kama yako, naomba tuwasiliane kwa ushering zaidi. Namba yangu ni 0784333470Wakuu poleni na majukumu,
Naomba msaada wenu Gari yangu imekuwa na Tatizo la kuzima ninapokuwa naendesha na huwasha taa za check engine, taa ya gear box, handbreak na kadhalika lakini ikijizima naisha hapo hapo na inawaka bila shida naendelea na safari mpaka itakapojizima tena.
Kwahiyo nilikuwa naomba kwa mwenye uelewa anisaidie maana nataka nilijue tatizo kabla sijaenda kwa fundi kuogopa kupigwa hela nyingi maana uchumi wenyewe kama mnavyoujua.