Recent content by Royal Son

  1. Royal Son

    PATA CAR DIAGNOSIS SCANNER JUA TATIZO LA GARI LAKO KABLA YA KWENDA GARAGE

    🚗 OBDII Scanner – Chunguza Gari Lako Kitaalamu! 🔧 Unapata shida kujua tatizo la gari lako? Suluhisho ni hii OBDII Scanner yenye uwezo wa kusoma na kufuta error codes kwa haraka na usahihi 💯 ✅ Inasoma matatizo ya engine (Check Engine) ✅ Rahisi kutumia – Plug & Play ✅ Inafaa kwa magari mengi ya...
  2. Royal Son

    Pata charger simu yako na abiria wako walio seat ya nyuma kwa bei poa

    Ni charger nzuri sana Boss inaweza kucharge mpaka watu 6 Boss karibu
  3. Royal Son

    Pata charger simu yako na abiria wako walio seat ya nyuma kwa bei poa

    Unapata charger ya Gari ambapo mnaweza kucharge mpaka watu 6 Boss
  4. Royal Son

    Pata charger simu yako na abiria wako walio seat ya nyuma kwa bei poa

    🔥 CAR USB CHARGER (FAST CHARGING 48W) 🔥 Chaji simu zako kwa haraka na urahisi! Ina ports 6 (Type-C + USB) – unaweza kuchaji abiria wa mbele na wa nyuma kwa wakati mmoja 🚗⚡ Waya mrefu (1.5M) unawafikia hadi waliokaa nyuma Inafaa kwa simu zote na vifaa vingine 💰 OFa: 30,000/= tu 📍 Arusha Town 📞...
  5. Royal Son

    Tunauza mini fast charger za kwenye gari

    CAR MINI CHARGER (Fast Charging) Chaji simu yako haraka ukiwa kwenye gari USB + Type-C – inafanya kazi na simu zote Ndogo, imara na rahisi kubeba Quality kali sana – inafaa kwa safari ndefu na matumizi ya kila siku Bei: Tsh 18,000/= Location: Arusha Town Call/WhatsApp: 0712350159
  6. Royal Son

    Brake fluid tester nzuri kwa usalama wa gari lako

    🔥 BRAKE FLUID TESTER – Chombo Muhimu kwa Gari Lako! 🔥 Epuka hatari barabarani! Hakikisha brake fluid yako iko salama kwa kutumia kifaa hiki rahisi na chenye uhakika. ✅ Inapima kiwango cha maji kwenye brake fluid ✅ Rahisi kutumia – weka tu na soma matokeo ✅ Inafaa kwa magari mengi (DOT3, DOT4...
  7. Royal Son

    INAUZWA Wireless Mic Pro iko poa sana. Bei ni Tsh. 55,000

    🎤 WIRELESS MIC PRO 🎧 Sauti Safi Kabisa – Hakuna Noise! ✔️ Inafanya kazi na iPhone & Android (Type-C) ✔️ Plug & Play – rahisi kutumia ✔️ Perfect kwa TikTok, YouTube, Interviews & Recording ✔️ Battery inakaa muda mrefu ✔️ Range ndefu (wireless) 💰 Bei: 55,000/= 📞 0712350159 📍 Arusha Town
  8. Royal Son

    Huyu Igor Thiago ndiyo atakuwa main striker wa Brazil?

    Sidhani hao wengine tia maji tia mji tuuu
  9. Royal Son

    Usikubali abiria wako wabaki bila charge safari nzima!

    🚗⚡ KWANINI ABIRIA WAKO WAKOSE CHARGE? Usikubali abiria wako wabaki bila charge safari nzima! Jipatie Car Fast Charger inayoweza kucharge hadi simu 6 kwa wakati mmoja 🔥 🔌 Type-C + USB (Fast Charging) 📏 Cable ndefu – inafika hadi siti za nyuma 💡 LED ya kisasa inayovutia 👨‍👩‍👧‍👦 Inafaa kwa dereva...
  10. Royal Son

    Iran yafungua lango la Hormuz kupisha mazungumzo ya Israel na Lebanon

    Iran kafungua huo Mlango je kule Malawi kusini mafuta yatashuka Bei ?
  11. Royal Son

    USHAURI: ili Tanzania isonge mbele yafuatayo yafanyike halaka sana

    Tutarudi miaka 60 nyuma kuna uhuru wa kuabudi ulivyovitaja sio Shida ya nchi yetu nchi ni utawala tuu
  12. Royal Son

    Magaidi 6 wa Hezbollah waangamizwa huko Al-Bureij Lebanon!!

    Wengine wanakufa huku wanashangilia
  13. Royal Son

    Car diagnosis scanner

    Karibu boss
  14. Royal Son

    Car diagnosis scanner

    Karibu sana...
Back
Top Bottom