Recent content by Royal Son

  1. Royal Son

    JamiiForums Tanzania Arusha: Mwili wa Bodaboda aliyekuwa kapotea wakutwa umekatwa shingo na kutobolewa macho

    Watafuatilia sasa wangeanza na mawasiliano yao kabla
  2. Royal Son

    JamiiForums Tanzania Kuna Watu neno Msamaha kwao liko tofauti kabisa

    Kuna Watu hawajui unachozungumza kabisa
  3. Royal Son

    JamiiForums Tanzania Google Camera: Camera bora zaidi kwenye simu yako

    Google Camera kwenye Oppo A92
  4. Royal Son

    JamiiForums Tanzania Kuna Watu neno Msamaha kwao liko tofauti kabisa

    Kama Picha inavyojielezea hapo nchini
  5. Royal Son

    JamiiForums Tanzania Naona mtu akibiwa vitu kapeleka kesi kwenye Mahakama ya Jadi

    Mimi nilijua tunaweza kusamehe kumbe wakulungwa msamaha umekaa kushoto kabisa angalia picha hapa chini
  6. Royal Son

    JamiiForums Tanzania Toyota premio ya 2014

    Gari nzuri sana haina shida
  7. Royal Son

    JamiiForums Tanzania Mawazo yangu juu ya Mazishi

    Hapa umenena vyema sana
  8. Royal Son

    JamiiForums Tanzania Mawazo yangu juu ya Mazishi

    Habari za muda huu Kwa Maoni yangu Marehemu hata ukimuwahisha kumzika hakuna mahali anawahi hata pia ukimchelewesha kumzika naona yote sawa tuu KARIBU OLKOKOLA ARUSHA
  9. Royal Son

    JamiiForums Tanzania Kwanini Konyagi za sasa hazileweshi kama zamani

    Ukishaona hivyo ujue ushakuwa Mlevi Mkuu
  10. Royal Son

    JamiiForums Tanzania MINI CAR DIAGNOSTICS SCANNER

    🚗🔧 CY3001 CAR DIAGNOSTIC SCANNER 🔧🚗 Tatua tatizo la gari lako kwa urahisi! CY3001 OBD2 Diagnostic Scanner ni kifaa muhimu kwa mafundi na wamiliki wa magari. ✅ Husoma Diagnostic Trouble Codes (DTCs) ✅ Husaidia kugundua matatizo ya gari ✅ Rahisi kutumia ✅ Muundo imara na wa kudumu ✅ Inafaa kwa...
  11. Royal Son

    JamiiForums Tanzania Kifaa cha kupimia Pressure bei poa sana

    Karibu sana Boss
  12. Royal Son

    JamiiForums Tanzania Mambo ambayo mwanaume akifanya Mwanza/ Usukumani, jamii yote itamshangaa

    Pasipo na Shaka nahisi na 7 Mzee wetu umetupiga pakubwa
  13. Royal Son

    JamiiForums Tanzania Nimechelewa kujua kumbe Mungu hana Dini wala Chama cha Siasa

    Huo ni mtaa wa dhambi sipitagi kabisa mkuu
  14. Royal Son

    JamiiForums Tanzania Kifaa cha kupimia Pressure bei poa sana

    Nimedanganya wapi Boss
  15. Royal Son

    JamiiForums Tanzania Nimechelewa kujua kumbe Mungu hana Dini wala Chama cha Siasa

    Sasa hawa Wafia Dini wa hizi Dini mbili kongwe wanavyopigana kumbe muhusika Mungu mwenyewe hana Dini na hawa wanasiasa wanaojinasibisha na Mungu kumbe wala haya hayupo huko na Mungu hapiganiwi anapigana mwenyewe sasa hawa wanaompigania hayo mawazo wanatoa wapi ? Salamu Kutoka Arusha
Back
Top Bottom