Recent content by Royal Son

  1. Royal Son

    JamiiForums Tanzania Sijawahi kuona Supu ya nguruwe

    Kwa Hapa Arusha inapatikana sehemu gani
  2. Royal Son

    JamiiForums Tanzania Sijawahi kuona Supu ya nguruwe

    Hivi sehemu nyingi utakuta supu Mbuzi/Ng'ombe, kuku, samaki na pweza hata wanapouza kitimoto, sijawahi kuona supu yake inauzwa
  3. Royal Son

    JamiiForums Tanzania Hivi kikatiba Malaika, Mungu, shetani na waganga wanatumbulika

    Nimeona Rais wa Kenya anasema hata asipo shinda ataongezewa kura na malaika hapa kwetu imekaaje
  4. Royal Son

    JamiiForums Tanzania Je, Ni Lazima Mpenzi Ajue Password ya Simu Yako?

    Kwenye Mahusiano kina personal privacy ila ndio wanasema hivyo
  5. Royal Son

    JamiiForums Tanzania Waarabu Zanzibar na Watutsi maziwa makuu wote walikuwa walowezi wakoloni

    Hapo ni pagumu sana washachanyikana sana na Wahaya sijui wanyambo ni ngumu sana Wanzibar wameanza kuwa na kiburi kuna sababu subiri awamu hiii ipite
  6. Royal Son

    JamiiForums Tanzania Ndani ya Saa 48 Mtoto Wa Diamond Na Zuchu Achangiwa Mamilioni Ya Pesa Kuzidi Walizopata CHADEMA kwa karibu Mwezi Mzima

    Kuna baadhi ya Tabia zinahatarisha uhalali wa Jinsia
  7. Royal Son

    JamiiForums Tanzania Waarabu Zanzibar na Watutsi maziwa makuu wote walikuwa walowezi wakoloni

    Unataka Watutsi warudi Ethiopia au
  8. Royal Son

    JamiiForums Tanzania Kero: Makanisa ya walokole katikati ya makazi ya watu

    Labda 50% halafu inategemea na mikoa pia
  9. Royal Son

    JamiiForums Tanzania Kero: Makanisa ya walokole katikati ya makazi ya watu

    Sio wote inategemea kiongozi wao ni mtu wa aina zingatia sio wote
  10. Royal Son

    JamiiForums Tanzania Ulinzi wa Rais Samia ni balaa. Aondoka uwanjani kimyakimya kwa mwendo wa kikomandoo bila kuzungumza neno lolote

    Unaweza kudhani una msifia mtu kumbe unamgombanisha na Mungu
  11. Royal Son

    JamiiForums Tanzania Bei ya umeme nchini Ethiopia ni kama miujiza

    Duuh sema si wanasema Bwawa la Nyerere likikamilika bei itashuka
  12. Royal Son

    JamiiForums Tanzania Watu 10 maarufu zaidi kuwahi kutokea duniani

    Swala la kumuweka Messi na Ronaldo ukamuacha Mwamba Osama Bin Laden ambaye hata waliokuwa wapendi Mpira wa enzi au sio wafuasi wa Dini walikuwa wanamjua
  13. Royal Son

    JamiiForums Tanzania Kwa mujibu wa maandiko matakatifu Ellen G. White wa kanisa la Wasabato ndiye Nabii wa mwisho duniani na hakuna Nabii mwingine baada yake

    Bi Ellen G White hakuwa Nabii alichofanya yeye ni kutafsiri Vitabu vya kinabii vilivyopo kwenye Biblia sidhani kama kuna sehemu alisema yeye ni Nabii
Back
Top Bottom