Sijawahi kuona Supu ya nguruwe

Sijawahi kuona Supu ya nguruwe

Nenda kwenye restaurant z wachina utafurahi mwenyewe kiongozi.
Kazi ni kipimo cha utu
 
Kutokuona haina maana hakuna.

Kwan uliwahi kuona supu ya bata?
 
Kwa Hapa Arusha inapatikana sehemu gani
 
Wajukuu wa Bi Ellen White na kobazi wa Mudi mnakosa mambo mazuri sana. Watu wanakula mdudu! nyinyi mnaleta habari za kucheua!
Toka kwenye huu ujinga na upumbafu wewe sio myahudi by the way usiite najisi usichokiumba.
 
Sema unahitaji uelekezwe vinakopatikana
 
Ipo ila inahitaji connection sisi mbeya tunanywea chipsi.
Nb: usiite supu wenyewe tunasema mchuzi.
 
Hivi Sehemu nyingi utakuta Supu Mbuzi/Ng'ombe Kuku,Samaki na Pweza hata wanapouza Kitimoto sijawahi kuona supu yake inauzwa
Ipo ya kongoro za kitimoto aka sotojo ila sehemu nyingi naaona mpaka utoe order. Noma sana kwa kukata hangover.
 
Hivi sehemu nyingi utakuta supu Mbuzi/Ng'ombe, kuku, samaki na pweza hata wanapouza kitimoto, sijawahi kuona supu yake inauzwa
Basi wewe hakika haupo Tanzania,ipotena ya ngwara sasa!
 
Haina wapenzi wengi. Ni kama supu ya bata, kondoo, kanga, sungura, kiboko, kambale n.k wote wanaliwa ila supu zao hazina wapenzi wengi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom