ni daktar wa binadamu ni mama mzuri sana ana miguu mizuriii ,ana pesa ana elimu ana exposure lakin hajivuni hata kidogo pia ni mchakarikaji sana.umri wake na mwonekane wake TAFAUTI anaonekana kigori kwa kuwa anajua jinsi ya kujikipu....SINA UBIA NAE its just ukweli toka moyoni kiroho safeeeeeee
Dzain ajui anachoongea uyu mfu tofali
Anapondaaaa ata ajui anachoponda
Mungu mwanamke?ndo kakobe kakwambia ivo?
Dini ninin
Din ipi waumin wake ni wasaf hawana dhambi
Unaijua falsafa ya bkra maria?
Mhh ebu niachane.nawewe isje kuwa natokwa na povu kwa mtu aso ili wala lile ktk i mada
Yaan wewe kweli tofal la kujengea banda la panya....sasa ebu nambie kanisa gan ilo ambalo.waumin wake.
Sio makahaba
Mafisadi
Walev
Wazinz
Waasherati
Ivi unajua maana ya kanisa?
Wakat unaandika.aukubanwa na uharo we kilaza?
Ur so min.
Afu dzain ushakufa unasubir KUFARIKI tu...RIP.
kwani siye tunanunua wap?
u dont know the game my dear..ao wanaotengeneza fek wanashirikiana na wafanyakaz wasio waaaminifu wanaosambaza izo bdhaa so mwenye duka anajiridhisha kabsaaa..ahh asi nimenunua kwenye gar lao kabsa...nimenunua depot pale ahh kumbe siku mingiiiiiii watu washafanya yaoo
ahh wanaboa yaan jaman..nilishawai kuona jinsi watu wanavyojaza maj SITATAJA MAJI GANI NILIYOYAONA ENZI IZO
kwenye chupa yaan dahh..ucchafuuuu jaman wanayajaza kwenye chupa wanabandka lebo wanaweka silid apo juu then gud to gooo..t was long tyme ahh so nilivyoona mabadiliko kwenye kilimanjaro...
mjombaaa wala sijakwambia nimepima kwa kutumia ivyo vgezo vyako...nimekwambia ladha na rangi yake plus chupa zake ukiangalia kwa makin si km vile tulivyozoea..sasa wewe mkemia mkuu ndo nakupa kazi ukayafanyie iyo kemia yako sjui nini afu uje na details apa...sawa???????????
afu sjaleta u usi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.